Kamaka
JF-Expert Member
- Jun 7, 2010
- 563
- 33
NDUGU
WACHAMBUZI WA SIASA ZA TANZANIA
Spika wa bunge lililopita ,
akipewa Uwaziri kama njia ya kumpoza baada ya kubwagwa kwenye kura za awali, ataweza kuonesha tija kwa kiwango cha juu kama waziri,?
kama alivyokuwa bungeni au atapunguza speed.? Au UWEZO WAKE NI KWENYE KUSIMAMIA VIFUNGU VYA SHERIA Tu? NAOMBA KUWASILISHA hoja hii tuijadili.
WACHAMBUZI WA SIASA ZA TANZANIA
Spika wa bunge lililopita ,
akipewa Uwaziri kama njia ya kumpoza baada ya kubwagwa kwenye kura za awali, ataweza kuonesha tija kwa kiwango cha juu kama waziri,?
kama alivyokuwa bungeni au atapunguza speed.? Au UWEZO WAKE NI KWENYE KUSIMAMIA VIFUNGU VYA SHERIA Tu? NAOMBA KUWASILISHA hoja hii tuijadili.