Sasa nataka kuamini Chama kile kipo kwaajili ya kuwasafisha wezi, mafisadi na wafananao! Ni vipi hakujibu tuhuma hizo hizo ambazo wananchi walizijua au kusikia kabla waziri huyo kuzisema?
Ni nani alitunga uongo woooote huo? Kwanini hakujali kabla? Ndio kusema ukiwa CCM hakuna wa kukutisha wala kujali lolote?
Anaposema alikomesha majangili, alitumia mbinu gani? Aweke hadharani ili zisaidie taifa. Isije kuwa uliweka walinzi wa kulinda majangili na hivyo mkala kilaini bila malalamiko wala purukashani na hicho ndicho unachoita KUMALIZA UJANGILI.
Kwa maoni yangu, mheshimiwa anajaribu kutuambia tusitegemee msafi aibuke kutoka kwenye dimbwi la mbolea ya binadamu.........eti wote ni nzi wa kizungu.
Tanzanians, you are on your own...........!