Spika Ndugai unataka Lissu afe?

Mambo haya ni ya kusikitisha sana, mwanadamu hata akutendee ubaya gani huna mamlaka ki imani kujaribu kutoa uhai wake au yoyote yanayofanana na hayo.

Mtu anapigania uhai wake wewe unanyima mshahara? vidonda vioze, familia imtenge sababu yupo hoi bin vuu - unataka nini tena??
 
Akujazuia ina maana kapona kwanini asirudi kufanya kazi za kibunge?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hapa kwetu hakuna mgonjwa aliywahi kuhojiwa na vyombo vya habari?

Kigwangala akiwa Muhimbili hakuhojiwa? Mbona Ndugai hakusema arudi bungeni kwa sababu ameongea na vyombo vya habari?

Mwigulu, hivi karibuni, baada ya ajali, kabla hajapona hakuhojiwa na vyombo vya habari? Tusiwe wendawazimu au tukakokotwa na mashetani bila kujitambua. Tuutambue utu na ubinaramu wetu, tutende kwa kadiri ya hivyo tulivyopewa na Muumba wetu. Wala tusiukatae utu na werevu wetu tukautumikia ujinga na ubaradhuli badala ya hekima iliyoingizwa nafsini mwetu.
 
Reactions: BAK
Lissu aliombea Tanzania inyimwe misaada na kweli haijapata misaada na yeye ndio maana kakosa mshahara kwasababu hatujapata misaada nafikiri tuisome namba wote pamoja na yeye aliyeombea nchi inyimwe misaada. Analia Lia mitandaoni huku alienda kuwaambia mabepari wainyime Tanzania misaada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuwa na shaka na uduni wa akili yako ila sikufahamu kama una akili duni kiasi hiki
 
Sikuwa na shaka na uduni wa akili yako ila sikufahamu kama una akili duni kiasi hiki
Mwenye akili kubwa Lissu tu na wewe mfuasi wake.

Kama kweli mna akili kubwa malalamiko ya kunyimwa mshahara na posho mnapeleka mitandao ya kijamii badala ya kupeleka barua sehemu uhusika(ofisi za bunge),serious?

Njaa mbaya sana na haina baunsa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka hata Mama yangu hapo enzi za uhai wake kwa bays lolote alikuwa anafananisha na akili za kabila hill....!
 
Nakumbuka hata Mama yangu hapo enzi za uhai wake kwa bays lolote alikuwa anafananisha na akili za kabila hill....!
 
Nakumbuka hata Mama yangu hapo enzi za uhai wake kwa bays lolote alikuwa anafananisha na akili za kabila hill....!
 
Taratibu na kanuni haziangalii sura usipozifuata kufa tu tutakuzika.
imagine wewe ndio ungekuwa mwanafunzi waa kidato cha pili halafu lissu angekuwa ndio baba yako wa kambo anayekulipia ada ili umalize kidato cha nne, ungeanduka utumbo kama huo?.
 
Kufanya kazi na magufuli kutawaharibia cv viongozi wengi sana wanaoendekeza matumbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…