Spika Ndugai unataka Lissu afe?

Spika Ndugai unataka Lissu afe?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,892
Anaandika #Bollen_Ngeti

SPIKA NDUGAI ANATAKA LISSU AFE??

KITENDO cha Bunge la Ndugai kumfutia mshahara na posho zingine za kibunge Tundu Lissu ni unyama na ushahidi wa dhahiri kuwa Spika Job Ndugai akibanwa anaweza walau kusaidia kujua waliopanga kumuua kwa mabunduki Lissu September 7, 2017.

Mwanzoni nilijua ni kauli tu za kisiasa lakini kwa Ndugai kuamua kweli kumfutia mshahara Lissu ni jaribio jingine la kutaka kumuua Lissu na safari hii naona wanataka afe kwa njaa na familia yake.

Risasi 16 zilishindikana kumuua Lissu baada ya Mungu kusimamia "show". Jaribio la pili lilikuwa ni kumfutia dhamana ili akamatwe na Interpol aswekwe ndani na magongo yake na majeraha. Hakika angekufa kwa mateso na uchungu. Hili nalo Mungu akaepusha. Mahakama ikakataa. Safari hii naona njia sahihi iliyochaguliwa ni kumfutia mshahara Lissu ili afe kwa njaa, watoto wasiende shule, ndugu tegemezi waathirike. Huku ni kumuua Lissu na ni uthibitisho kuwa nguvu ya kummaliza Lissu ni kubwa mno kiasi kwamba bila Mungu Lissu si kitu!

Ndugai anadai hajui aliko Lissu na anafanya nini huko asikojua. Ndugai akumbushwe tu kwamba Lissu yuko hospitali huko Ubelgiji akipatiwa matibabu baada ya kupigwa risaso 38 na 16 kumuingia mwilini na hivi karibuni amemaliza kufanyiwa upasuaji wa 23. Anasubiri uamuzi wa madaktari kumruhusu kutoka au la!

Lissu ni Mtanzania kama wewe na mimi. Ana ndugu, jamaa na marafiki hata ndani ya Mafikizolo, Chadema, Inzile, Gweregwere, CUF, jeshini, TISS, vyuoni, Magogoni nakadhalika! Tumuombee apone ili awatumikie wananchi wake. Tofauti zetu kisiasa zisitutofautishe hadi kufikia kuuana kwa njaa. Wabunge wote unganeni kumpinga Ndugai, pigeni kelele hadi nchi za mbali kupinga uamuzi huu wa Ndugai. Kumbukeni wakimmaliza Lissu watakugeukieni na ninyi. Hakuna aliye salama kwa sasa!
#AchaWoga2020
 
Anaandika #Bollen_Ngeti

SPIKA NDUGAI ANATAKA LISSU AFE??

KITENDO cha Bunge la Ndugai kumfutia mshahara na posho zingine za kibunge Tundu Lissu ni unyama na ushahidi wa dhahiri kuwa Spika Job Ndugai akibanwa anaweza walau kusaidia kujua waliopanga kumuua kwa mabunduki Lissu September 7, 2017.

Mwanzoni nilijua ni kauli tu za kisiasa lakini kwa Ndugai kuamua kweli kumfutia mshahara Lissu ni jaribio jingine la kutaka kumuua Lissu na safari hii naona wanataka afe kwa njaa na familia yake.

Risasi 16 zilishindikana kumuua Lissu baada ya Mungu kusimamia "show". Jaribio la pili lilikuwa ni kumfutia dhamana ili akamatwe na Interpol aswekwe ndani na magongo yake na majeraha. Hakika angekufa kwa mateso na uchungu. Hili nalo Mungu akaepusha. Mahakama ikakataa. Safari hii naona njia sahihi iliyochaguliwa ni kumfutia mshahara Lissu ili afe kwa njaa, watoto wasiende shule, ndugu tegemezi waathirike. Huku ni kumuua Lissu na ni uthibitisho kuwa nguvu ya kummaliza Lissu ni kubwa mno kiasi kwamba bila Mungu Lissu si kitu!

Ndugai anadai hajui aliko Lissu na anafanya nini huko asikojua. Ndugai akumbushwe tu kwamba Lissu yuko hospitali huko Ubelgiji akipatiwa matibabu baada ya kupigwa risaso 38 na 16 kumuingia mwilini na hivi karibuni amemaliza kufanyiwa upasuaji wa 23. Anasubiri uamuzi wa madaktari kumruhusu kutoka au la!

Lissu ni Mtanzania kama wewe na mimi. Ana ndugu, jamaa na marafiki hata ndani ya Mafikizolo, Chadema, Inzile, Gweregwere, CUF, jeshini, TISS, vyuoni, Magogoni nakadhalika! Tumuombee apone ili awatumikie wananchi wake. Tofauti zetu kisiasa zisitutofautishe hadi kufikia kuuana kwa njaa. Wabunge wote unganeni kumpinga Ndugai, pigeni kelele hadi nchi za mbali kupinga uamuzi huu wa Ndugai. Kumbukeni wakimmaliza Lissu watakugeukieni na ninyi. Hakuna aliye salama kwa sasa!
#AchaWoga2020
Ndugai hana mamlaka wala hakuwahi kuwa na nia ya kuzuia mafao ya Lissu kwani yeye pia kama mlengwa tena wa magonjwa sugu anaelewa adha anayopata Lissu...tatizo ni kwamba analinda "nafasi yake" si unajua tena chama ndicho uamua nani awe spika..mnakumbuka yaliyomkuta Sitta mpaka akapigwa chini na kuwekwa yeye "Subwoofer"...hivyo basi anahofu mpaka anaogopa kutumia akili kidogo kutekeleza maagizo "ovu" anayopewa...ni jambo la ajabu kuwa pamooja na kupewa amri ya kuzuia malipo ya lIssu alishindwa hata kumuandikia Lissu barua "ya kujitoa akili" angalau kuuliza kwanini haonekani bungeni japo kimsingi anajua aliko...hii ni kupoteza mda na rasilimali za nchi kwani lissu atawapeleka mahakamani na atashinda kesi na nzuri zaidi kwa lissu anazidi kupata umaarufu na sifa kutoka kwa wananchi
 
Huu ndio uwe mwanzo wakupitia upya mafao ya wabunge, haiwezekani mtu akalipwa posho ya dereva posho ya house girl, huku mwalimu hana hata posho ya maziwa kuondoa vumbi la chaki, huku mwalimu simu ikipotea mwanafunzi mhisiwa kifo kina mkabili,

jpm hebu piga chini mafao ya wabunge yapitiwe upya yaendane na stahiki za watumishi wa umma.
 
Huu ndio uwe mwanzo wakupitia upya mafao ya wabunge, haiwezekani mtu akalipwa posho ya dereva posho ya house girl, huku mwalimu hana hata posho ya maziwa kuondoa vumbi la chaki, huku mwalimu simu ikipotea mwanafunzi mhisiwa kifo kina mkabili,

jpm hebu piga chini mafao ya wabunge yapitiwe upya yaendane na stahiki za watumishi wa umma.
Walimu nyinyi si ndio mnao hesabu kura someni namba kimya.
 
Mimi si mCDM lakini mkituwekea njia ya kuchangia nitachanga. TL deserves better nami nahitaji mtu anaesimamia au anaetukumbusha umuhimu wa UTAWALA BORA wa katiba, sheria na HAKI katika demokrasia. Maendeleo tu peke yake hayatoshi.
 
Ndugai hana mamlaka wala hakuwahi kuwa na nia ya kuzuia mafao ya Lissu kwani yeye pia kama mlengwa tena wa magonjwa sugu anaeelwa adha anayopata Lissu...tatizo ni kwamba analinda "nafasi yake" si unajua tena chama ndicho uamua nani awe spika..mnakumbuka yaliyomkuta Sitta mpaka akapigwa chini na kuwekwa yeye "Subwoofer"...hivyo basi anahofu mpaka anaogopa kutumia akili kidogo kutekeleza maagizo ovu anayopewa...ni jambo la ajabu kuwa pamooja na kupewa amri ya kuzuia malipo ya lIssu alishindwa hata kumuandikia Lissu barua "ya kujitoa akili" angalau kuuliza kwanini haonekani bungeni japo kimsingi anajua aliko...hii ni kupoteza mda na rasilimali za nchi kwani lissu atawapeleka mahakamani na atashinda kesi na nzuri zaidi kwa lissu anazidi kupata umaarufu na sifa kutoka kwa wananchi
MGOGO KTK UBORA WAKE!
Kila kabila lina udhaifu wake lakini udhaifu wa wagogo umepita viwango vyote vya udhaifu wa makabila mengine
Yaani makang'ati ana nafuu.
Fuatilieni wote waliokuwa madarakani toka huko nyuma,mtakubaliana nami.
UDHAIFU WA KUSHIKIWA AKILI NI MBAYA SANA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini lawama zote ni kwa Ndugai?? Yupo anayejiita mhimili uliojichimbia zaidi ya mingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu hana utu hana hata chembe ya aibu. Mh hakimu alipoombwa kufuta dhamana utu na busara vilimuongoza akawa na hofu ya Mungu. Why yeye afanye maamuzi as if yeye ni Mungu? Yaani anajiona yeye ni kila kitu. Siamini na sizani kama hata aliwashilikisha kamati ya Uongozi wa bunge maana si kwa maamuzi haya kumbuka inshu ya CAG.
 
Back
Top Bottom