Adui yako muombee njaa na misukosukoDah! Mzee wetu SPEAKER hali tete kwa sasa, nani ataonyesha vividly kuwa upande wake angalau kumfariji? Binafsi niliwaza sana kuhusu usemi wake, alifaham fika POWERS alizonazo mama kikatiba na mifano ipo! unawezaje kupata guts kusimama with confidence na kusema vile? Watu pekee wa kumfariji kipindi hiki walikuwa wa upande wa pili lakini ndiyo hivyo kama mdau alivyosema hakuwataka nyumbani kwake. Ngoma ni ngumu kweli kweli….. chonde chonde tumuombee regardless.
Kabsaa hata mke wake na watoto wanamshangaa baba lisilokuwa na misimamoKajikoroga mwenyewe mbona angekomaa asiombe msamaha na zaidi angefafanua tahadhari ya mikopo sio mizuri kwa ujenzi wa nchi hasa ile mikopo ya masharti magumu, lakini hana msimamo na mwanamke akijua udhaifu wako utafokewa kama mtoto kila siku hadi ukome
Sio ajabu tuu washenzi na wanafikiWabunge wake 300+ hakuna hata mmona aliyemtetea. Ccm kuna wabunge wa ajabu sana.
Na katibu mwenez wa mkoaWaangalie tu asijiue maana kila mmoja kamkimbia ameanza kunuka kama mavi wana ccm wenzie hawamtaki hata kumsikia kapigwa biti hadi na mkuu wa mkoa
Mbona hakuwa pamoja na Assad,alipofichua upoteaji tillioni moja na nusu?au alikuwa anajipendekeza kwa Mwenda zake?Kapigwa biti hadi na wenyeviti wa chama mkoa.
Kazi ya Spika na Bunge ni kuisimamia serikali kwenye mipango yake ikiwemo matumizi ya fedha.
Ndugai alikuwa sahihi kuhoji lakini wabunge wote kimya. Utadhani Ndugai yuko peke yake.
Hili nalo nenoWatu walimwambia kwa Jenerali Ulimwengu amegusa pabaya mabaya yatampata😅😅
kiukweli nikikumbuka jinsi alivyokuwa anawatoa wapinzani bungeni ba wale maaskari tena kwa kubebwa juu juu na anasema hakuna wa kumfanya chochote.....nachoka na siwezi kumuonea huruma huyu mtu hata siku moja aiseeWaangalie tu asijiue maana kila mmoja kamkimbia ameanza kunuka kama mavi wana ccm wenzie hawamtaki hata kumsikia kapigwa biti hadi na mkuu wa mkoa
Tunasubiri siku hizi 7 atashinikizwa na chama ajiudhuru au ? Bunge likiamka kutokuwa imani nae nini itatokea ? Au saa hii yuko Dar anamsaka JK akampigie magoti Mama ? Akipiga Magoti ataweza kufanya kaxi yake ipasavyo ? Mean kusimamia serikali ?
ewaaaa tuko pamojaMoja ya watu napenda wadhalilike wakiwa hai ni ndugai maana kadhalilisha watu wengi na kamati yake ya maadili hakujali utu wao ndio maana leo watu hawamtetei wanaona fresh tu akomae nalo, unajua ndugai alimdhalilisha Prof Assad, Gwajima, Mayala, Jerry Silaa, Juma Ulimwengu na wengine wengi
Mungu ana njia nyingi za kutoa adhabu. Huyu mgogo, alitumia hila kumkuza Lissu, ona aibu inayo muandama.Katika kitu Job Ndugai Anawahitaji wapinzani ni wakati huu! Leo nasema anajuta kuwa mmoja wa watu waliosababisha upinzani kipokonywa haki yao kuwabeza na kudharilisha, sasa leo yamemkuta ambayo akuyategemea!
Hivi leo kungekuwa na upinzani angejiegemeza ila hakuna upinzani na leo anautamani katika kikao cha bunge lijalo! Angalau ungemliwaza kwa kurusu hoja zao, leo wote watamkimbia kama maiti isiyokuwa na mwenyewe! Kwakuwa hakuna wa kuthubutu kumubeba kila mtu anawaza 2025 itakuwaje nikijiingiza?
Hao wenyewe Sukuma Gang wameishaanza kuingia ubaridi sembuse wana wa Samia? Kosa lake nikutokuwa na msimamo kama kiongozi wa Muhimili angekaza siyokusema waneediti mara kwasababu ya kabila langu Mimi Mgogo hapo Job ndipo ulipo chemka. Tusubiri yajayo.
Siku zote ukitaka heshima simamia ethics, lakini ukikubali kutumiwa kuvunja sheria, kanuni au taratibu imo siku itakucost.Dah! Mzee wetu SPEAKER hali tete kwa sasa, nani ataonyesha vividly kuwa upande wake angalau kumfariji? Binafsi niliwaza sana kuhusu usemi wake, alifaham fika POWERS alizonazo mama kikatiba na mifano ipo! unawezaje kupata guts kusimama with confidence na kusema vile? Watu pekee wa kumfariji kipindi hiki walikuwa wa upande wa pili lakini ndiyo hivyo kama mdau alivyosema hakuwataka nyumbani kwake. Ngoma ni ngumu kweli kweli….. chonde chonde tumuombee regardless.
tena ni aibu ya kiwango cha juu sana maana kabaki peke yakeMungu ana njia nyingi za kutoa adhabu. Huyu mgogo, alitumia hila kumkuza Lissu, ona aibu inayo muandama.
Hapo mwisho mkuu ndipo umechafua! Nani apoteze muda wake kumwombea? Wambabue tu ashike adabu yake!Ngoma ni ngumu kweli kweli….. chonde chonde tumuombee regardless.
Hakuwahi kufanya kazi ipasavyo, hivyo hatojali kutofanya kutofanya kazi ipasavyo.Tunasubiri siku hizi 7 atashinikizwa na chama ajiudhuru au ? Bunge likiamka kutokuwa imani nae nini itatokea ? Au saa hii yuko Dar anamsaka JK akampigie magoti Mama ? Akipiga Magoti ataweza kufanya kaxi yake ipasavyo ? Mean kusimamia serikali ?
Atajiegemeza kwa kina COVID 19Hebu kwanza tusubiri season 3 itatupa mwelekeo wa mechi
Unaweza ikiwa unajiaminiChagua moja umtetee mwenyekiti wa chama au umtetee mjumbe tu wa kamati kuu anayetegemea maamuzi ya mwenyekiti.