johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,012
- 142,044
Wampeleke tena Apollo au wamletee dose yake kama imekwisha .....!!Mwenye CV ya
Spika Ndugai tafadhali.
Jamaa shuleni hakuwa mvivu ni kipanga, na huko chuo alikuwa mwanafunzi boraMwenye CV ya
Spika Ndugai tafadhali.
Tatizo hicho kinundu kichwaniAkimpongeza mbunge wa Mtera mh Lusinde kwa uchambuzi mzuri wa hotuba ya waziri mkuu uliotumia dakika 15 Spika Ndugai amesema Kibajaj anawazidi wasomi wengi mle bungeni.
Spika amesema bungeni yanahitajika maarifa huo uprofesa ni kwa ajili ya kufundisha na kufanya tafiti hivyo katika siasa uprofesa hauna maana yoyote.
Ndio maana wabunge watatu wamewaponda maprofesa tukianza na Kishimba, Kibajaji na kuna wakati Dr Ndugulile aliwahi kumuita waziri fulani Profesa Ziro nikamtoa nje haa haaa amecheka Ndugai
Ndugai amewataka maprofesa kuwa makini wanapohutubia bungeni kwani darasa la 7 akina Kibajaji, Msukuma Tabasamu, Jah people, Kiinanasi, Babu Tale nk nk wako makini kweli
Source TBC
My take; Mbona wabunge wa darasa la 7 ni wanaume watupu!
Miongoni mwayo ni cheti cha ukichaaMwenye CV ya
Spika Ndugai tafadhali.
Hivi Kongwa ndiyo kule wanakula viwavi jeshi na kunya porini?Huyu lofa anafikiri watanzania wote tunatokea KONGWA nini?
haya ndiyo matatizo ya kutahiriwa ukubwani yanavyokuwa kilasiku akili zinapotea tuu
Hakuna haja ya kupoteza hela aachwe amfuate dhalim mwenzakeWampeleke tena Apollo au wamletee dose yake kama imekwisha .....!!