Spika Ndugai: PhD zina manufaa kwenye kufundisha na kutafiti lakini siyo bungeni, Dkt. Ndugulile aliwahi kumuita Waziri Profesa Ziro

Jamaa shuleni hakuwa mvivu ni kipanga, na huko chuo alikuwa mwanafunzi bora
Nilisoma na Ndugai na Bana UDSM, wote wakiwa wametuzidi umri. Ni kati ya watu waliokuwa wakidharauliwa sana kutokana na uwezo mdogo kimasomo, huku wakijifanya wajuaji.

Ni uwongo mukubwa kuwa alikuwa mwanafunzi bora. Pekee ninachokumbuka alikuwa akisema, 'mnanidharau, mimi nitakuwa mbunge. Mzee Malecela amesema nije kusoma ili anisaidie, baadaye nuwe mbunge'.
 
Akimpongeza mbunge wa Mtera mh Lusinde kwa uchambuzi mzuri wa hotuba ya Waziri Mkuu uliotumia dakika 15 Spika Ndugai amesema Kibajaj anawazidi wasomi wengi mle bungeni.

Spika amesema bungeni yanahitajika maarifa huo uprofesa ni kwa ajili ya kufundisha na kufanya tafiti hivyo katika siasa uprofesa hauna maana yoyote.

Ndio maana wabunge watatu wamewaponda maprofesa tukianza na Kishimba, Kibajaji na kuna wakati Dr Ndugulile aliwahi kumuita waziri fulani Profesa Ziro nikamtoa nje haa haaa amecheka Ndugai.

Ndugai amewataka maprofesa kuwa makini wanapohutubia bungeni kwani darasa la 7 akina Kibajaji, Msukuma Tabasamu, Jah people, Kiinanasi, Babu Tale nk nk wako makini kweli.

Chanzo: TBC

My take; Mbona wabunge wa darasa la 7 ni wanaume watupu!
Hili zuzu na zwazwa kweli
 

How do HIV/AIDS affect the nervous system?​

HIV does not directly invade nerve cells (neurons) but puts their function at risk by infecting cells called glia that support and protect neurons. HIV also triggers inflammation that may damage the brain and spinal cord (central nervous system) and cause symptoms such as:

  • confusion and forgetfulness
  • inability to concentrate
  • behavioral changes
  • headaches
  • mood disorders (anxiety disorder and depression)
  • movement problems (loss of movement control) including a lack of coordination and difficulty walking.
Damage to the peripheral nerves can cause progressive weakness and loss of sensation in the arms and legs. Research has shown that HIV infection can cause shrinking of brain structures involved in learning and information processing.

Other nervous system complications that can occur as a result of HIV infection or the drugs used to treat it include:

  • pain
  • seizures
  • strokes
  • shingles
  • difficulty swallowing
  • fever
  • vision loss
  • coma, and
  • problems with bladder control or sexual function.
These symptoms may be mild in the early stages of AIDS but can become increasingly severe.

In children, the disease can cause:

  • developmental delays
  • loss of previously achieved milestones
  • brain lesions
  • nerve pain
  • smaller than normal skull size
  • slow growth
  • eye problems, and
  • recurring infections.
 

How do HIV/AIDS affect the nervous system?​

HIV does not directly invade nerve cells (neurons) but puts their function at risk by infecting cells called glia that support and protect neurons. HIV also triggers inflammation that may damage the brain and spinal cord (central nervous system) and cause symptoms such as:

  • confusion and forgetfulness
  • inability to concentrate
  • behavioral changes
  • headaches
  • mood disorders (anxiety disorder and depression)
  • movement problems (loss of movement control) including a lack of coordination and difficulty walking.
Damage to the peripheral nerves can cause progressive weakness and loss of sensation in the arms and legs. Research has shown that HIV infection can cause shrinking of brain structures involved in learning and information processing.

Other nervous system complications that can occur as a result of HIV infection or the drugs used to treat it include:

  • pain
  • seizures
  • strokes
  • shingles
  • difficulty swallowing
  • fever
  • vision loss
  • coma, and
  • problems with bladder control or sexual function.
These symptoms may be mild in the early stages of AIDS but can become increasingly severe.

In children, the disease can cause:

  • developmental delays
  • loss of previously achieved milestones
  • brain lesions
  • nerve pain
  • smaller than normal skull size
  • slow growth
  • eye problems, and
  • recurring infections.
Hehehehe
 
Ni bahati mbaya kwa hii nchi. Spika wa bunge na mkuu wa mhimili kupuuza Elimu 'PhD'.

Sio ajabu kama nchi tuna wasomi wengi wenye weledi lkn wanatumika na nchi nyingine ama taasisi za binafsi.
 
Akimpongeza mbunge wa Mtera mh Lusinde kwa uchambuzi mzuri wa hotuba ya Waziri Mkuu uliotumia dakika 15 Spika Ndugai amesema Kibajaj anawazidi wasomi wengi mle bungeni.

Spika amesema bungeni yanahitajika maarifa huo uprofesa ni kwa ajili ya kufundisha na kufanya tafiti hivyo katika siasa uprofesa hauna maana yoyote.

Ndio maana wabunge watatu wamewaponda maprofesa tukianza na Kishimba, Kibajaji na kuna wakati Dr Ndugulile aliwahi kumuita waziri fulani Profesa Ziro nikamtoa nje haa haaa amecheka Ndugai.

Ndugai amewataka maprofesa kuwa makini wanapohutubia bungeni kwani darasa la 7 akina Kibajaji, Msukuma Tabasamu, Jah people, Kiinanasi, Babu Tale nk nk wako makini kweli.

Chanzo: TBC

My take; Mbona wabunge wa darasa la 7 ni wanaume watupu!
Na Kweli kutunga Sheria na Kuchambua Miswada mbalimbali Darasa la Saba mpaka la Pili wanatosha
 
Akimpongeza mbunge wa Mtera mh Lusinde kwa uchambuzi mzuri wa hotuba ya Waziri Mkuu uliotumia dakika 15 Spika Ndugai amesema Kibajaj anawazidi wasomi wengi mle bungeni.

Spika amesema bungeni yanahitajika maarifa huo uprofesa ni kwa ajili ya kufundisha na kufanya tafiti hivyo katika siasa uprofesa hauna maana yoyote.

Ndio maana wabunge watatu wamewaponda maprofesa tukianza na Kishimba, Kibajaji na kuna wakati Dr Ndugulile aliwahi kumuita waziri fulani Profesa Ziro nikamtoa nje haa haaa amecheka Ndugai.

Ndugai amewataka maprofesa kuwa makini wanapohutubia bungeni kwani darasa la 7 akina Kibajaji, Msukuma Tabasamu, Jah people, Kiinanasi, Babu Tale nk nk wako makini kweli.

Chanzo: TBC

My take; Mbona wabunge wa darasa la 7 ni wanaume watupu!
Maprofesa wa Tanzania ni hovyo kabisa jamii ya Lipumba
 
Akimpongeza mbunge wa Mtera mh Lusinde kwa uchambuzi mzuri wa hotuba ya Waziri Mkuu uliotumia dakika 15 Spika Ndugai amesema Kibajaj anawazidi wasomi wengi mle bungeni.

Spika amesema bungeni yanahitajika maarifa huo uprofesa ni kwa ajili ya kufundisha na kufanya tafiti hivyo katika siasa uprofesa hauna maana yoyote.

Ndio maana wabunge watatu wamewaponda maprofesa tukianza na Kishimba, Kibajaji na kuna wakati Dr Ndugulile aliwahi kumuita waziri fulani Profesa Ziro nikamtoa nje haa haaa amecheka Ndugai.

Ndugai amewataka maprofesa kuwa makini wanapohutubia bungeni kwani darasa la 7 akina Kibajaji, Msukuma Tabasamu, Jah people, Kiinanasi, Babu Tale nk nk wako makini kweli.

Chanzo: TBC

My take; Mbona wabunge wa darasa la 7 ni wanaume watupu!
Naunga mkono hoja ya Spika kuhusu hawa wabunge wa Darasa la 7.

P
 
Tatizo hasara tunapata wote, kwa maamuzi yao ya hovyo yatatufanya tuishi kama walivyoamua.
Ni kweli kabisa siasa ndiyo kila kitu. wanachoama hao jamaa hata kiwe cha kijinga kina impact kwako, mwanao, mjukuu wako na kizazi kijasho. hapa ndopo tatizo lilipo
 
Lofa kabisa huyu, kwa vile yeye hana huo uprofesa
Professor kweli LAKINI hajawahi kufanya kazi nje ya kufundisha vijana wetu vyuoni.
Ingependeza kama wangechukua likizo wakafanya kazi kwenye taasisi za fani zao hasa za binafsi kwa miaka kama 2 hadi 5 harafu wakirudi vyuoni wataleta impact.
 
Mbona jamaa analeta ubaguzi wa kielelimu!?

Hivi ni kweli mtu ambaye amezidiwa elimu anakosa kujiamini nini?

Najiuliza, kwa nini mule bungeni wa darasa la saba huwaponda wenye degree zao hada maprofesa, na wenye degree zao huwa wamekaa kimya tu, yani hawajibu mashambulizi?

Sijawahi kusikia wenye degree mule bungeni wakiwaponda wa darasa la saba hadharani! Au ndiyo kusema kusoma ni kustaarabika na kujiamini?

Sipati picha siku ambayo profesa atakapowaponda darasa la saba mule bungeni! Darasa la saba hawatakubali kabisa! Moto utawaka!
 
Professor kweli LAKINI hajawahi kufanya kazi nje ya kufundisha vijana wetu vyuoni.
Ingependeza kama wangechukua likizo wakafanya kazi kwenye taasisi za fani zao hasa za binafsi kwa miaka kama 2 hadi 5 harafu wakirudi vyuoni wataleta impact.
Mbona wote wamefanya hivyo? Mfano, Prof Muhongo alikuwa Mkuu wa taasisi moja ya kimataifa ya Geology kwa miaka 5 nje ya nchi. Prof Assad alikaa kwenye taasisi nyingine ya kimataifa kwa muda huko nje. Jielimishe na CV zao. Ukweli ni kwamba hata kuandika yanayozungumzwa Bungeni wanafanya wasomi na wanashauriwa na wenye PhD mara kwa mara. Ukitaka kuonyesha ujinga duniani, waachie hiyo kazi hao vibajaji, Musukuma na Kishimba (watoa digrii ya miezi 8).
 
Hiyo ni dalili za watu wenye matatizo ya kiakili... yaani psychological issues
 
Back
Top Bottom