Spika Ndugai: PhD zina manufaa kwenye kufundisha na kutafiti lakini siyo bungeni, Dkt. Ndugulile aliwahi kumuita Waziri Profesa Ziro

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,561
Akimpongeza mbunge wa Mtera mh Lusinde kwa uchambuzi mzuri wa hotuba ya Waziri Mkuu uliotumia dakika 15 Spika Ndugai amesema Kibajaj anawazidi wasomi wengi mle bungeni.

Spika amesema bungeni yanahitajika maarifa huo uprofesa ni kwa ajili ya kufundisha na kufanya tafiti hivyo katika siasa uprofesa hauna maana yoyote.

Ndio maana wabunge watatu wamewaponda maprofesa tukianza na Kishimba, Kibajaji na kuna wakati Dr Ndugulile aliwahi kumuita waziri fulani Profesa Ziro nikamtoa nje haa haaa amecheka Ndugai.

Ndugai amewataka maprofesa kuwa makini wanapohutubia bungeni kwani darasa la 7 akina Kibajaji, Msukuma Tabasamu, Jah people, Kiinanasi, Babu Tale nk nk wako makini kweli.

Chanzo: TBC

My take; Mbona wabunge wa darasa la 7 ni wanaume watupu!
 
Pumbavu, mawazo ya darasa la saba! Kwanza ukiwafuatilia ni tabia za kujipendekeza, pili kwa kuwa muda wote utetea mihimili lazima wapongezwe, ila bila kujali matakwa ya baadhi ya waliodhulumika leo kumsema jiwe kwa matendo yake maovu haitajiki elimu yeyote.

Mtu ametenda mabaya asemwe faida wengine wasirudie maovu, wawekezaji wamekimbia, biashara zimeuwawa, uchaguzi umearibiwa, watu waliishi kwa hofu, uhuru finyu, ndio tupongeze? Watapongeza hao hao kina kibajaji!
 
Akimpongeza mbunge wa Mtera mh Lusinde kwa uchambuzi mzuri wa hotuba ya waziri mkuu uliotumia dakika 15 Spika Ndugai amesema Kibajaj anawazidi wasomi wengi mle bungeni.

Spika amesema bungeni yanahitajika maarifa huo uprofesa ni kwa ajili ya kufundisha na kufanya tafiti hivyo katika siasa uprofesa hauna maana yoyote.
Ndio maana wabunge watatu wamewaponda maprofesa tukianza na Kishimba, Kibajaji na kuna wakati Dr Ndugulile aliwahi kumuita waziri fulani Profesa Ziro nikamtoa nje haa haaa amecheka Ndugai

Ndugai amewataka maprofesa kuwa makini wanapohutubia bungeni kwani darasa la 7 akina Kibajaji, Msukuma Tabasamu, Jah people, Kiinanasi, Babu Tale nk nk wako makini kweli

Source TBC

My take; Mbona wabunge wa darasa la 7 ni wanaume watupu!
Tatizo hicho kinundu kichwani
FB_IMG_1618336478528.jpg
 
Shida ya mjinga zinaanzia hapo; anadumu akijiamisha kujua, na kumbe anaendelea kutojua kwamba hajui.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom