Jasusi Mbobezi
Senior Member
- May 17, 2020
- 195
- 851
Ndugu yangu Ndugai alitangaza ratiba mpya ya Bunge (vikao kuanza saa 8 mchana) na jinsi wabunge watakavyokaa wakiwa Bungeni (kutumia kumbi 2), pia alitangaza kuwa wabunge wote wavae barakoa isipokuwa wenye changamoto za kiafya tena kwa kibali maalumu.
Maswali yangu:
1. Kama kweli wawakilishi Hawa wanajali wananchi kwanini ratiba za taasisi nyingine hazijabadilika mf. Shuleni walimu na wanafunzi wanafika mapema asubuhi, wanakaa darasani kwa msongamano, wanatoka saa 9 nanusu mchana, wengine wanaishi huko huko.
Ina maana wabunge walikuwa wanakaa kwa msongamano kuliko shule za kata kiasi kwamba wakaona watumie kumbi 2?
2. Kama wao kweli ni wawakilishi wa wananchi, kwanini hawaishauri Serikali isimamie taasisi kama shule ziwe na shift?
3. AMEKUMBUKA KUPUNGUZA POSHO PIA AU WAMEPUNGUZA MUDA WA KAZI TU?
Hitimisho: wanacho kifanya hawa ndugu zetu ni usanii tu na kujikomba.
Maswali yangu:
1. Kama kweli wawakilishi Hawa wanajali wananchi kwanini ratiba za taasisi nyingine hazijabadilika mf. Shuleni walimu na wanafunzi wanafika mapema asubuhi, wanakaa darasani kwa msongamano, wanatoka saa 9 nanusu mchana, wengine wanaishi huko huko.
Ina maana wabunge walikuwa wanakaa kwa msongamano kuliko shule za kata kiasi kwamba wakaona watumie kumbi 2?
2. Kama wao kweli ni wawakilishi wa wananchi, kwanini hawaishauri Serikali isimamie taasisi kama shule ziwe na shift?
3. AMEKUMBUKA KUPUNGUZA POSHO PIA AU WAMEPUNGUZA MUDA WA KAZI TU?
Hitimisho: wanacho kifanya hawa ndugu zetu ni usanii tu na kujikomba.