Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 4,975
- 6,448
hivi haya mambwa mbona yanaviongerea vyombo vya dora kuwa vinaendelea na uchunguzi wakat kamanda mkuu alishasema uchunguzi umefungwa na watu walipigwa marufuku kuendelea kuzungumzia suala la kushambuliwa kwake
kwanini vyombo vyenyewe visijitokeze kuzungumza hazarani kinachoendelea??
kwanini vyombo vyenyewe visijitokeze kuzungumza hazarani kinachoendelea??