K Kamundu Platinum Member Joined Nov 22, 2006 Posts 9,585 Reaction score 14,903 Oct 8, 2025 #1 Spika ndugai: Kasha sahaulika pesa wanakula wengine!. Mafao makubwa alipewa na akafikiri atakuwa mbunge na kujiona ni Mungu mtu sasa ni mwendazake Tendeni haki! somo. wapenda maraka hawakusubiri Tenda Mema ukiwa hai
Spika ndugai: Kasha sahaulika pesa wanakula wengine!. Mafao makubwa alipewa na akafikiri atakuwa mbunge na kujiona ni Mungu mtu sasa ni mwendazake Tendeni haki! somo. wapenda maraka hawakusubiri Tenda Mema ukiwa hai
Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 16,775 Reaction score 28,222 Oct 8, 2025 #2 Kwahiyo unajaribu kusema nini? Hata wewe unayejifanya mwema ukifa mkeo atakuwa hela na mali zako na mchepuko wake tena hata nyumba yako huenda akauza
Kwahiyo unajaribu kusema nini? Hata wewe unayejifanya mwema ukifa mkeo atakuwa hela na mali zako na mchepuko wake tena hata nyumba yako huenda akauza
Quavohucho JF-Expert Member Joined Aug 30, 2020 Posts 1,021 Reaction score 2,405 Oct 8, 2025 #3 kifo ndo mwisho wa ulimwengu, Na utasahaulika, same kama ulivokua haujulikani ulivokua manii kwenye korodani za baba ako
kifo ndo mwisho wa ulimwengu, Na utasahaulika, same kama ulivokua haujulikani ulivokua manii kwenye korodani za baba ako
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 30,265 Reaction score 54,691 Oct 9, 2025 #4 Quavohucho said: kifo ndo mwisho wa ulimwengu, Na utasahaulika, same kama ulivokua haujulikani ulivokua manii kwenye korodani za baba ako Click to expand... Ndio mwisho wa story ya mtu, after that maisha yanaendelea kama kawa Tofauti ni kuwa ita tegemea enzi za uhai wako ulitenda nn cha watu kuendelea kukumbuka
Quavohucho said: kifo ndo mwisho wa ulimwengu, Na utasahaulika, same kama ulivokua haujulikani ulivokua manii kwenye korodani za baba ako Click to expand... Ndio mwisho wa story ya mtu, after that maisha yanaendelea kama kawa Tofauti ni kuwa ita tegemea enzi za uhai wako ulitenda nn cha watu kuendelea kukumbuka
A Ambrose Koller Senior Member Joined Oct 13, 2024 Posts 122 Reaction score 116 Oct 10, 2025 #5 Kamundu said: View attachment 3485762 Spika ndugai: Kasha sahaulika pesa wanakula wengine!. Mafao makubwa alipewa na akafikiri atakuwa mbunge na kujiona ni Mungu mtu sasa ni mwendazake Tendeni haki! somo. wapenda maraka hawakusubiri View attachment 3485768 Tenda Mema ukiwa hai View attachment 3485770 Click to expand... Hayo ndo maisha ukikielewa kifo umeyaelewa maisha
Kamundu said: View attachment 3485762 Spika ndugai: Kasha sahaulika pesa wanakula wengine!. Mafao makubwa alipewa na akafikiri atakuwa mbunge na kujiona ni Mungu mtu sasa ni mwendazake Tendeni haki! somo. wapenda maraka hawakusubiri View attachment 3485768 Tenda Mema ukiwa hai View attachment 3485770 Click to expand... Hayo ndo maisha ukikielewa kifo umeyaelewa maisha