beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amezitaka Kamati za Bunge hususani zile za Sekta kufanya kazi zinazohusika nazo akisema zisikae tu pasipo kufuatilia mambo.
Ametolea mfano suala la Ajira za Walimu ambapo amehoji, "Wangapi mnajua Wapiga Kura wenu wangapi wamepata? Mnaweza kuwa na uhakika mchakato huo umekwenda inavyopaswa?"
Ameongeza, "Tusipoangalia tutajikuta katika Nchi hii badala ya Utumishi wa Umma wa Watanzania wote, tukawa na Utumishi wa baadhi ya watu. Hatuwezi kwenda hivyo".
Ametolea mfano suala la Ajira za Walimu ambapo amehoji, "Wangapi mnajua Wapiga Kura wenu wangapi wamepata? Mnaweza kuwa na uhakika mchakato huo umekwenda inavyopaswa?"
Ameongeza, "Tusipoangalia tutajikuta katika Nchi hii badala ya Utumishi wa Umma wa Watanzania wote, tukawa na Utumishi wa baadhi ya watu. Hatuwezi kwenda hivyo".