Spika Ndugai, hadi lini unajibanza kwenye uongo, ulaghai, utapeli na kutumika? Hufanani na uyafanyayo. Umepatwa na nini?

Njaa mbaya baba, ngoja tumsubiri 2020 kama hatatupwa na hao anaowatumikia. Mwisho wake utakuwa mbaya na alivyo na hasira ataishia Jela. Bado muda mfupi sana
 
Ni huzuni kwa bunge
 
Mzee Tupatupa wa Lumumba najua unajua mengi Sana ambayo Sisi wengine hatujui naomba unijulishe na utuletee sheria na taratibu za mtumishi wa Bunge na Mbunge akiwa mgonjwa zinasemaje
Ukisha tuletea hapa kama zilivyo hapo tunaweza sema kitu,maana sheria za watumishi wengine wa serikali na sekta binafsi tunazijua
 
Sometimes I wonder whether the world is being run by smart people who are putting us on or by imbeciles who really mean it!!! Shame be unto whoever feels he hold the keys to peoples lives!
 
Ndugai ni mfano mbaya sana kwa viongozi waganga njaa na wanaojipendekeza kuliko maelezo. Anafanya mambo huku roho yake inapinga Dr. Mzima sijui elimu yake inamsaidia nini
 
huyu jamaa wa kongwa kwa sasa anakula na kusaza

na kaajiri mtumishi wa kutupa makombo kila siku jalalani..

yupo juu kileleni,na Labda madhila ya familia ya Mbunge wake yanamwongezea mileage huko kileleni
 
Unapoteza muda kujibizana na mdaka makombo!
 

Ili taifa lipone kisasi ni haki kama njia ya kulipa wote waliyotufikisha hapa.Kisasi ulipwa Kwa kisasi ndipo uponyaji huja.
 
Hakika huyu "agwe" atashikilia historia ya kuwa ni Spika wa hovyo kabisa aliyewahi kutokea pale Bungeni, tokea nchi hii iwe na maspika wa Bunge letu, tokea tupate uhuru

Hakika anatekeleza "maagizo" aliyopewa na Jiwe, "unafanya kazi nzuri sana ya kuwatimua hao wabunge wa upinzani Bungeni, ukishawatimua huko nami nitadeal nao huku uraiani" mwisho wa kunukuu

Hivi Jiwe anavyofikiri kwa kuwatumia hao Policcm, huku uraiani, kuwanyanyasa wapinzani ndiyo ujanja kweli??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…