Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Si Tozo ndio linaratibu hizo safari, Mpaka waziri mkuu juzi kawaambia waliobaki Dar wahamie Dodoma
 
Wanakumbuka shuka wakati kumekucha. Ila Ndugai ana maono ya mbali aisee. Mambo mengi aliyoyasema wakamuona hafai ndio yanatokea na wanarudi mule mule. Kweli Ndugai ni jiwe walilolikataa waashi.
Ukiacha ufupi wake ,mengine kanaona mbali
 
Wanakumbuka shuka wakati kumekucha. Ila Ndugai ana maono ya mbali aisee. Mambo mengi aliyoyasema wakamuona hafai ndio yanatokea na wanarudi mule mule. Kweli Ndugai ni jiwe walilolikataa waashi.
Shida ni kutenda kwake mambo ya kishetani (uovu) huko nyuma.
Wanadamu tumefundishwa "mkatae shetani na mambo yake yote" hivyo hata ukikutana naye akakuambia ukweli kuwa njia unayoifuata kuna Simba utajikuta unamkatalia tuu kumbe ni kweli.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Shida ni kutenda kwake mambo ya kishetani (uovu) huko nyuma.
Wanadamu tumefundishwa "mkatae shetani na mambo yake yote" hivyo hata ukikutana naye akakuambia ukweli kuwa njia unayoifuata kuna Simba utajikuta unamkatalia tuu kumbe ni kweli.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ndugai akihamia chadema wewe ndiyo utakuwa wa kwanza kushangilia, kumsafisha na kumwombea kura
 
Ndugai akihamia chadema wewe ndiyo utakuwa wa kwanza kushangilia, kumsafisha na kumwombea kura
Tabia kama hizi sina
index.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Shida ni kutenda kwake mambo ya kishetani (uovu) huko nyuma.
Wanadamu tumefundishwa "mkatae shetani na mambo yake yote" hivyo hata ukikutana naye akakuambia ukweli kuwa njia unayoifuata kuna Simba utajikuta unamkatalia tuu kumbe ni kweli.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hakuna kiongozi aliye mwema mbele ya macho ya waja. Hata Yesu na Muhamad walichukiwa na baadhi ya wanadamu.
 
Lema na Lissu waliacha madeni makubwa pale Bungeni.

Na Mali za Lema Kila mara zinatishiwa kuuzwa kwa madeni.

Mbowe ndio usiseme, anakopa kuanzia kwenye karata mpaka mabenki.

Mnyika Ile midaladala yake inayozurura hapo Dsm ni mikopo
 
Back
Top Bottom