Si Tozo ndio linaratibu hizo safari, Mpaka waziri mkuu juzi kawaambia waliobaki Dar wahamie DodomaSpika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.
Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
Wanakumbuka shuka wakati kumekucha. Ila Ndugai ana maono ya mbali aisee. Mambo mengi aliyoyasema wakamuona hafai ndio yanatokea na wanarudi mule mule. Kweli Ndugai ni jiwe walilolikataa waashi.Alafu wakamng'oa eti
Leo tunalia sie.Watajuana wenyewe majizi hayo
Ukiacha ufupi wake ,mengine kanaona mbaliWanakumbuka shuka wakati kumekucha. Ila Ndugai ana maono ya mbali aisee. Mambo mengi aliyoyasema wakamuona hafai ndio yanatokea na wanarudi mule mule. Kweli Ndugai ni jiwe walilolikataa waashi.
HahahaUkiacha ufupi wake ,mengine kanaona mbali
Shida ni kutenda kwake mambo ya kishetani (uovu) huko nyuma.Wanakumbuka shuka wakati kumekucha. Ila Ndugai ana maono ya mbali aisee. Mambo mengi aliyoyasema wakamuona hafai ndio yanatokea na wanarudi mule mule. Kweli Ndugai ni jiwe walilolikataa waashi.
Kuhoji ndiyo democrasiaKumbe mkanganyiko na Ndugai ulianza siku nyingi. Kuhoji hoji muhimili kulileta shida
Ndugai akihamia chadema wewe ndiyo utakuwa wa kwanza kushangilia, kumsafisha na kumwombea kuraShida ni kutenda kwake mambo ya kishetani (uovu) huko nyuma.
Wanadamu tumefundishwa "mkatae shetani na mambo yake yote" hivyo hata ukikutana naye akakuambia ukweli kuwa njia unayoifuata kuna Simba utajikuta unamkatalia tuu kumbe ni kweli.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Tabia kama hizi sinaNdugai akihamia chadema wewe ndiyo utakuwa wa kwanza kushangilia, kumsafisha na kumwombea kura
Haya maisha bwana, waliomsema anaumwa ndiye anadunda
Hakuna kiongozi aliye mwema mbele ya macho ya waja. Hata Yesu na Muhamad walichukiwa na baadhi ya wanadamu.Shida ni kutenda kwake mambo ya kishetani (uovu) huko nyuma.
Wanadamu tumefundishwa "mkatae shetani na mambo yake yote" hivyo hata ukikutana naye akakuambia ukweli kuwa njia unayoifuata kuna Simba utajikuta unamkatalia tuu kumbe ni kweli.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app