Spika Ndugai adai kuwa wapinzani wamewajaza watu wao mitandaoni ili wawatukane viongozi wa serikali!

Kwa bahati nzuri sina nia ya kukushawishi wewe kumkubali Magufuli kwa sababu jinsi nilivyo kusoma inaonekana wewe Uli katika shimo la giza kuliko unao dhania wao ndiyo wao ndiyo wako kwenye shimo hilo.

Always mtu asiye jua mambo vizuri au mtu akiwa mjinga hukumbilia kutoa kauli za matusi na kumkejeli mwenzake. Sasa swali la kujiuliza ni kwa nini inatokea hivi? Jibu lake ni very simple, ubongo wake utakuwa una defekt kwenye Genes. Ina maana kuwa mtu wa aina hiyo hana uwezo wa kusoma maandishi vizuri na kuyaelewa kiasi kwamba akaweza communucate na binadam wenzake kwa kauli ambayo inaeleweka.

Watu kama hao wajerumani wana msemo ambao wana utumia. "Missbidung" (malformation). Watu au viumbe ambao wana characteristics za aina hii ndiyo wanaitwa binadam kwa vile wanaonekana wako kama sisi, lakini kiundani ni viumbe wengine kabisa. Ni "mutant".

Kwa hiyo mkuu siku shangai na wala sikukasirikii kwa kunitukana wakati hunijui na mimi sikujui ila nacho weza kukueleza na nakuthibitishia ni kuwa wewe sio kiumbe kama sisi na mtu wa aina yako siwezi kwa masikitiko makubwa kumwita binadam bali ni kiumbe nisicho kielewa. Binadam ana wasiliana vingine na wenzake, lakini sio wewe.

Nime ku-disqualify na kukuondoa katika group la watu wanaojiita binadam na kukuweka katika group la Alien ambaye bado anatakiwa afanyiwe uchunguzi kujua uko katika class gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama utaandikaje.Bado msimamo wangu uko pale pale.Ukiona mtu ana fikra za kumtenda vibaya mwenzake,jua huyo hafai kwenye lolote zaidi ya uovu auwazao.Huna utofauti na Ndugai aliyempiga fimbo mwenzake halafu eti anakuwa spika wa bunge.Toa kwanza hizo fikra za uovu,ili uyaishi uyanenayo.Nje ya hapo wewe ni KENGE tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala usihangaike kurudi kwani wewe ni nimesha kuona kuwa ni zombi anayesubiri mauti ya kaburi na ambaye hatatoka kwenye hilo pango lake la uswahilini.

Wewe kijana mzima unashindwa kujiendeleza mwenyewe kielimu na kifikra ili kuinua maisha yako ya baadae na hivyo uka wawekea msingi mzuri wa maisha watoto na wajukuu zako? Badala yake unapaoteza mda wako mwingi ukitumiwa na mijitu mijinga ambayo haijui ulimwengu unavyo kwenda. Kazi yao kushangilia maendeleo ya wazungu tu. Yeye ndiyo mtu wa kwanza kuwatukuza wazungu na kuwaona wao kama Mungu.

Mtu anazungumza kuhusu uhuru wakati hata mkoloni hamjui, amemsoma kwenye vitabu na kuhadithiwa tu. Kwa jinsi Lissu alivyo kuwa mjinga hajui kuwa yeye mwenyewe kwa maneno na matendo yake ndiyo yanamfanya awe mtumwa wa wazungu kwa kuwategemea wao kwa kila kitu. Hajitambui kwanini matibabu ya majeruhi yake yanafanyika Ubelgiji badala ya nchini mwake Tanzania. Elimu ya kuipatia vitabuni ni shida sana.

Lissu hajui kitu ni kasuku tu. Hajui uhuru maana yake ni nini? Angejua maana yake asinge kwenda kwenda Kenya na Ubelgiji kutibiwa badala yake angepata matibabu yake Tanzania. Lakini yeye ameshindwa hata kujiuliza kwa nini yuko Ubelgiji na sasa London kwenye Interview na BBC. Ni kwa sababu yeye ni mtumwa wa wazungu na kwa hali hiyo hana uhuru wa kuamua mambo anayo yataka ni mtu tegemezi.

Msomi gani anashindwa kutofautisha kati ya mikoloni na utumwa? Hajui pia uhuru wa nchi na uhuru wa mtu binafsi. Hajui hata haki za binadam amnazo anazipigania ni nini?

Watanzania walikuwa huru hata enzi za mkoloni na ndiyo maana waliweza kulima mashamba yao, kwenda shule na kufanya kazi walizo taka kulingana na matakwa yao. Wakati wa utumwa ndiyo watu walikuwa hawana uhuru wa kufanya kazi kulingana na kipaji chao. Mababu zetu walinyanyasika sana wakati wa utumwa. Walipelekeshwa kama ng'ombe.

Yeye anafikiri haki za bidam ni uhuru wa kupiga porojo usiku na mchana na kuwa kupe na mdoweaji. Haki za binadam ni uhuru wa kuamua kitu gani unataka kufanya na wakati gani na sio kuishi kwenye migongo ya watu wanao hangaika.

Lissu hajui hao watu wanao dai kuwa wao ni watetezi na walinda haki za binadam ndiyo kwanza ni watu wasio fuata hizo haki? Ajiulize kwanini England ina Brexit? England ina Brexit kwa sababu waingereza wamekuwa racist. Hawataki kuwa pamoja na wana ulaya wenzao. Wanataka wawe peke yao, kwa maana nyingine hawataki wageni au Immigrant kutoka nchi nyingine za Ulaya na Afrika. Hii peke yake ni ishara tosha kuwa waingereza wana-violeti Codex ya haki za binadam kwa kubagua watu gani wanaruhusiwa kuishi England na nani sio. Moja ya haki ya binadam ni kuwa binadam anajali ya kuishi popote pale kwa mujibu wa sheria.

Yeye mwenyewe haoni hata haibu kwenda Uingereza kumtukana Rais wetu ambaye anajitahidi kuiweka nchi sawa na kutaka kuwasaidia watanzania nao kuwa na uwezo wa mitambo au vifaa hivyo hivyo ambavyo wazungu mababu zao walivihangaikia na leo yeye anavitumia vifaa hivyo hivyo vya mkoloni kutoa propaganda ya kuwalaghai nyie msio jua kitu badala ya kutumia uwezo na maarifa yake kushirikiana na Magufuli kuwaendeleza watanzania kimaisha na hivyo kuinua uchumi wa nchi yetu ili kulifanya taifa letu lisiwe wategemezi.

Huo ni ujinga usio sameheka. Na ndiyo maana nasema tena. Lissu akirudi atapigwa tena. Sasa hivi njia nyingine zitatumika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unanishambulia mimi binafsi?Unayajua maisha yangu?Sijaona msingi wa maneno yako ya utangulizi!Zaidi unaonekana mjinga kwa personal attacks zako kwa mtu ambaye hata humjui!!!
Nimekwambia nikipata nafasi nitakujibu,kwasasa niko kwenye majukumu ya kuweka ugali mezani ili familia isife njaa!
We endelea kubwabwaja!
 
Huyu Bwana ni suspect no 1 katika lile shambulizi la Lissu.......

Polisi inabidi muanze naye kumchunguza

Inakuwaje atamke kuwa Lissu akirudi atapigwa tena??

Kama matamshi pekee yangekuwa ni majibu ya kum-suspect mtu kwa kosa la jinai basi hata wewe ambaye Uli kwenye soil ya Tanzania pia suspect no 1, kwani haijathibitishwa kuwa wewe una Alibi.

Mleteneni kwanza Dereva wake halafu tuangalie maswala mengine. Sijaona humu mit hata mmoja akizungumzua au kulilia dereva wa Lissu kutoa ushahidi. Kwanini afichwe? Kama nyie hamtaki kushirikiana na serikali yetu katika harakati za kupata ufumbuzi wa majangili wa Kobe wenu, kwanini mnailazimisha serikali kufanya hivyo? Nyie pia mnawajibu wa kutoa ushirikiano. Nchi ni yetu sisi wote na janga ni letu sisi wote. Toeni ushirikiano wa kumketa dereva wake Lissu asihojiwe na wahusika ili tuweze tatua hilo tukio.

Kwa manzingira haya dereva wake ni suspect no 1.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika Press conference aliyoifanya Jana jijini Dar, Spika Ndugai alisikika akisema kuwa vyama vya upinzani vimewajaza watu wao mitandaoni kwa lengo la kuwatukana viongozi wa serikali, huku wakitumia ID za "anonymous"

Nimekuwa nikijiuliza hivi ni watu gani waliojazwa mitandaoni na wapinzani kwa ajili ya kuwatukana viongozi wa serikali??

Hivi yeye Spika anapoona wananchi wengi mitandaoni wakiwa upande wa upinzani anadhani kuwa wanalipwa na vyama vya upinzani kwa ajili ya kuifanya kazi hiyo??

Hivi hawezi kudhani kuwa wananchi hao wanasukumwa na uzalendo wao na kukemea maovu yanayofanywa na viongozi wa serikali ya awamu ya tano??

Hivi Spika Ndugai haoni namna viongozi wa awamu ya tano walivyoamua kuiminya demokrasia ambayo imejengwa kwa juhudi kubwa kwa kipindi cha zaidi ya miaka 25 hivi sasa na hivyo kuisababisha nchi yetu kuelekea shimoni??

Hivi yeye Spika Ndugai hajawaona wanaotumia ID "anonymous" kwa ajili ya kuitetea kwa nguvu zote serikali ya awamu ya 5 hata kwa pale inapoonekana dhahiri imeboronga??

Hadi kauli ya 'Buku 7 Lumumba Club' imeibuliwa humu mitandaoni, hivi hadhani kuwa Chama chake ndiyo bingwa wa kuwajaza watu wake humu mitandaoni kwa ajili ya kuwatetea kwa nguvu zote viongozi wa serikali hata pale wanapoonekana wameboronga dhahiri??

Hadi Spika Ndugai amejitumbukiza katika "battle" hii ya serikali VS upinzani, ujue mambo ni magumu sana kwa timu ile inayoongozwa na "jingalao"
Hio kauli katoa kama spika wa bunge la jamuhuri ? Au kama mbunge wa ccm au kama mwana ccm ? Kama ni spika basi ni zaifu na huo uspika hafai. Spika ni lazima awe neutral.
 
You are the one who cares. Kwani nimeishi na ku-experience mambo mengi ambayo wewe kwenye pango lako la uswahilini hutatoka hata siku moja.

Umekuwa stranded na jinsi inavyo onekana unazidi kudumaa na mijutu isiyo jitambua kama akina Lissu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Eti pango la uswahilini, unazeeka vibaya mzee!! Umekuja na porojo nyiiiingi eti nimesoma Mara nimeoa mzungu, ushawahi niona nakuja hapo kwa shemeji ako kuomba chakula.

Kafie mbele huko na ukome kufatilia na kushobokea watu usiowajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtandaoni ndiko kioo kikuu, huku kuna onyesha unakubalika au LA!!!
Huku sio kwenye TV kwamba mwananchi anapepesa macho akiletewa mike na kuanza kumsifia kichaa ilhali huyo mwananchi anadaiwa kodi na kajumba kake kako kwenye lenta tangu 2016.

Mkuu mim hata kwenye lenta nasikia tu, nimeishia kununua tu kakiwanja tena bondeni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Katika Press conference aliyoifanya Jana jijini Dar, Spika Ndugai alisikika akisema kuwa vyama vya upinzani vimewajaza watu wao mitandaoni kwa lengo la kuwatukana viongozi wa serikali, huku wakitumia ID za "anonymous"

Nimekuwa nikijiuliza hivi ni watu gani waliojazwa mitandaoni na wapinzani kwa ajili ya kuwatukana viongozi wa serikali??

Hivi yeye Spika anapoona wananchi wengi mitandaoni wakiwa upande wa upinzani anadhani kuwa wanalipwa na vyama vya upinzani kwa ajili ya kuifanya kazi hiyo??

Hivi hawezi kudhani kuwa wananchi hao wanasukumwa na uzalendo wao na kukemea maovu yanayofanywa na viongozi wa serikali ya awamu ya tano??

Hivi Spika Ndugai haoni namna viongozi wa awamu ya tano walivyoamua kuiminya demokrasia ambayo imejengwa kwa juhudi kubwa kwa kipindi cha zaidi ya miaka 25 hivi sasa na hivyo kuisababisha nchi yetu kuelekea shimoni??

Hivi yeye Spika Ndugai hajawaona wanaotumia ID "anonymous" kwa ajili ya kuitetea kwa nguvu zote serikali ya awamu ya 5 hata kwa pale inapoonekana dhahiri imeboronga??

Hadi kauli ya 'Buku 7 Lumumba Club' imeibuliwa humu mitandaoni, hivi hadhani kuwa Chama chake ndiyo bingwa wa kuwajaza watu wake humu mitandaoni kwa ajili ya kuwatetea kwa nguvu zote viongozi wa serikali hata pale wanapoonekana wameboronga dhahiri??

Hadi Spika Ndugai amejitumbukiza katika "battle" hii ya serikali VS upinzani, ujue mambo ni magumu sana kwa timu ile inayoongozwa na "jingalao"
Mwambieni huyo andunje ndugai naye afungue akaunti hata 200000 aanze kujisifu na kumsifu jiwe, hakuna anayeemzuia kufungua akaunti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugaye sasa naona maji yamemfika shingoni amebakia kutapatapa
Katika Press conference aliyoifanya Jana jijini Dar, Spika Ndugai alisikika akisema kuwa vyama vya upinzani vimewajaza watu wao mitandaoni kwa lengo la kuwatukana viongozi wa serikali, huku wakitumia ID za "anonymous"

Nimekuwa nikijiuliza hivi ni watu gani waliojazwa mitandaoni na wapinzani kwa ajili ya kuwatukana viongozi wa serikali??

Hivi yeye Spika anapoona wananchi wengi mitandaoni wakiwa upande wa upinzani anadhani kuwa wanalipwa na vyama vya upinzani kwa ajili ya kuifanya kazi hiyo??

Hivi hawezi kudhani kuwa wananchi hao wanasukumwa na uzalendo wao na kukemea maovu yanayofanywa na viongozi wa serikali ya awamu ya tano??

Hivi Spika Ndugai haoni namna viongozi wa awamu ya tano walivyoamua kuiminya demokrasia ambayo imejengwa kwa juhudi kubwa kwa kipindi cha zaidi ya miaka 25 hivi sasa na hivyo kuisababisha nchi yetu kuelekea shimoni??

Hivi yeye Spika Ndugai hajawaona wanaotumia ID "anonymous" kwa ajili ya kuitetea kwa nguvu zote serikali ya awamu ya 5 hata kwa pale inapoonekana dhahiri imeboronga??

Hadi kauli ya 'Buku 7 Lumumba Club' imeibuliwa humu mitandaoni, hivi hadhani kuwa Chama chake ndiyo bingwa wa kuwajaza watu wake humu mitandaoni kwa ajili ya kuwatetea kwa nguvu zote viongozi wa serikali hata pale wanapoonekana wameboronga dhahiri??

Hadi Spika Ndugai amejitumbukiza katika "battle" hii ya serikali VS upinzani, ujue mambo ni magumu sana kwa timu ile inayoongozwa na "jingalao"

In God we Trust
 
Hata kama utaandikaje.Bado msimamo wangu uko pale pale.Ukiona mtu ana fikra za kumtenda vibaya mwenzake,jua huyo hafai kwenye lolote zaidi ya uovu auwazao.Huna utofauti na Ndugai aliyempiga fimbo mwenzake halafu eti anakuwa spika wa bunge.Toa kwanza hizo fikra za uovu,ili uyaishi uyanenayo.Nje ya hapo wewe ni KENGE tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenge jike tena kipofu aliekatwa mkia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu leo anajidai kutufanya malofa zaidi
Ni baada ya Mange Kimambi kutuwekea wazi matibabu ya speaker India na ugonjwa unaomsuumbua.

Speaker alikataa kulazwa wodini. Madaktari walimtibu akiwa 5* hotel. Huko alichukua wing nzima yeye na wasaidizi wake. Mlipaji wa gharama ni kodi zetu.

In God we Trust
 
Ndugaye hafai kabisa kuliongoza bunge
Ala kumbe??

Wakati yeye "akienjoy" huduma ya 5 star katika matibabu yake, mbunge mwenzie Tundu Lissu amemnyima stahiki zake za kupata matibabu akidai kuwa hajapitia proper channel!

In God we Trust
 
Kama matamshi pekee yangekuwa ni majibu ya kum-suspect mtu kwa kosa la jinai basi hata wewe ambaye Uli kwenye soil ya Tanzania pia suspect no 1, kwani haijathibitishwa kuwa wewe una Alibi.

Mleteneni kwanza Dereva wake halafu tuangalie maswala mengine. Sijaona humu mit hata mmoja akizungumzua au kulilia dereva wa Lissu kutoa ushahidi. Kwanini afichwe? Kama nyie hamtaki kushirikiana na serikali yetu katika harakati za kupata ufumbuzi wa majangili wa Kobe wenu, kwanini mnailazimisha serikali kufanya hivyo? Nyie pia mnawajibu wa kutoa ushirikiano. Nchi ni yetu sisi wote na janga ni letu sisi wote. Toeni ushirikiano wa kumketa dereva wake Lissu asihojiwe na wahusika ili tuweze tatua hilo tukio.

Kwa manzingira haya dereva wake ni suspect no 1.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenge jike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala usihangaike kurudi kwani wewe ni nimesha kuona kuwa ni zombi anayesubiri mauti ya kaburi na ambaye hatatoka kwenye hilo pango lake la uswahilini.

Wewe kijana mzima unashindwa kujiendeleza mwenyewe kielimu na kifikra ili kuinua maisha yako ya baadae na hivyo uka wawekea msingi mzuri wa maisha watoto na wajukuu zako? Badala yake unapaoteza mda wako mwingi ukitumiwa na mijitu mijinga ambayo haijui ulimwengu unavyo kwenda. Kazi yao kushangilia maendeleo ya wazungu tu. Yeye ndiyo mtu wa kwanza kuwatukuza wazungu na kuwaona wao kama Mungu.

Mtu anazungumza kuhusu uhuru wakati hata mkoloni hamjui, amemsoma kwenye vitabu na kuhadithiwa tu. Kwa jinsi Lissu alivyo kuwa mjinga hajui kuwa yeye mwenyewe kwa maneno na matendo yake ndiyo yanamfanya awe mtumwa wa wazungu kwa kuwategemea wao kwa kila kitu. Hajitambui kwanini matibabu ya majeruhi yake yanafanyika Ubelgiji badala ya nchini mwake Tanzania. Elimu ya kuipatia vitabuni ni shida sana.

Lissu hajui kitu ni kasuku tu. Hajui uhuru maana yake ni nini? Angejua maana yake asinge kwenda kwenda Kenya na Ubelgiji kutibiwa badala yake angepata matibabu yake Tanzania. Lakini yeye ameshindwa hata kujiuliza kwa nini yuko Ubelgiji na sasa London kwenye Interview na BBC. Ni kwa sababu yeye ni mtumwa wa wazungu na kwa hali hiyo hana uhuru wa kuamua mambo anayo yataka ni mtu tegemezi.

Msomi gani anashindwa kutofautisha kati ya mikoloni na utumwa? Hajui pia uhuru wa nchi na uhuru wa mtu binafsi. Hajui hata haki za binadam amnazo anazipigania ni nini?

Watanzania walikuwa huru hata enzi za mkoloni na ndiyo maana waliweza kulima mashamba yao, kwenda shule na kufanya kazi walizo taka kulingana na matakwa yao. Wakati wa utumwa ndiyo watu walikuwa hawana uhuru wa kufanya kazi kulingana na kipaji chao. Mababu zetu walinyanyasika sana wakati wa utumwa. Walipelekeshwa kama ng'ombe.

Yeye anafikiri haki za bidam ni uhuru wa kupiga porojo usiku na mchana na kuwa kupe na mdoweaji. Haki za binadam ni uhuru wa kuamua kitu gani unataka kufanya na wakati gani na sio kuishi kwenye migongo ya watu wanao hangaika.

Lissu hajui hao watu wanao dai kuwa wao ni watetezi na walinda haki za binadam ndiyo kwanza ni watu wasio fuata hizo haki? Ajiulize kwanini England ina Brexit? England ina Brexit kwa sababu waingereza wamekuwa racist. Hawataki kuwa pamoja na wana ulaya wenzao. Wanataka wawe peke yao, kwa maana nyingine hawataki wageni au Immigrant kutoka nchi nyingine za Ulaya na Afrika. Hii peke yake ni ishara tosha kuwa waingereza wana-violeti Codex ya haki za binadam kwa kubagua watu gani wanaruhusiwa kuishi England na nani sio. Moja ya haki ya binadam ni kuwa binadam anajali ya kuishi popote pale kwa mujibu wa sheria.

Yeye mwenyewe haoni hata haibu kwenda Uingereza kumtukana Rais wetu ambaye anajitahidi kuiweka nchi sawa na kutaka kuwasaidia watanzania nao kuwa na uwezo wa mitambo au vifaa hivyo hivyo ambavyo wazungu mababu zao walivihangaikia na leo yeye anavitumia vifaa hivyo hivyo vya mkoloni kutoa propaganda ya kuwalaghai nyie msio jua kitu badala ya kutumia uwezo na maarifa yake kushirikiana na Magufuli kuwaendeleza watanzania kimaisha na hivyo kuinua uchumi wa nchi yetu ili kulifanya taifa letu lisiwe wategemezi.

Huo ni ujinga usio sameheka. Na ndiyo maana nasema tena. Lissu akirudi atapigwa tena. Sasa hivi njia nyingine zitatumika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli Mliwa Nyuma.Unajiaibisha sana wewe pumbaaaaaaaaavu mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kama hujui jinsi gani mambo ya criminal cases yanavyo endeshwa ni bora ukanyamaza. Umesha wahi sikia case ya kuuawa kwa Rais wa waamerika J. F. Kennedy? Je mpaka leo wamesha mpata mtu aliye muua Rais Kennedy? Unakubaliana nao kuwa Oswald Lee Harvey ndiye pekee aliye muua Rais Kennedy Dalas Texas? Angalia hii Clip.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka hapo nishagundua kuwa wewe ni wale wale walio karibu na mfalme Juha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi anaona effort ya kuzima mikutano kwa wapinzani haijazaa matunda sana kwasababu sasa arena ipo mitandaoni.

Sukari mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Plz....don't generalise. Kisukari ni ugonjwa. Si kuwa wote wenye sukari hawajitambui kama huyo spika.
Na sio sukari iliyomfanya awe hivyo. Ni hulka yake. It has got nothing to do na sukari.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi wajifunze kutunza kauli zao wata heshimika tu!. Public figures do not shout in public for no good reasons, remember there some elders and knowledgeable citizens than you ''Public figures have to keep their words''
 
Mimi ni mmoja wa watu wanao muunga mkono spika ila ajitahidi aache kukurupuka jitahidi kuyaendea mambo kwa umakini mkubwa sana spika ni mtu mkubwa usijishushie hadhi vilevile uwe mvumilivu kama raisi wangu anatukanwa kila siku lakini ametulia tu anachapa kazi kwani kuitwa dhaifu ndio umekufa "hapa kazi tu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom