mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,912
- 5,255
Asante kwa kumbukumbu mujarbuu.supika mpiga marungu eti leo hii na yeye anao udiriki wa kujifanya mzalendo.Ni baada ya Mange Kimambi kutuwekea wazi matibabu ya speaker India na ugonjwa unaomsuumbua.
Speaker alikataa kulazwa wodini. Madaktari walimtibu akiwa 5* hotel. Huko alichukua wing nzima yeye na wasaidizi wake. Mlipaji wa gharama ni kodi zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app