alimkalisha chini akidai ameshaifunga hoja ile.
HIvi kweli hawa watu wanashindwa kuona kama kuna haja ya kurusuhu hoja hii ikaweza kujadiliwa bungeni? Kwa nini wanadharau kiasi hiki katika mambo mhimu kaya haya ya majanga kama hili la ajali ya meli? Ina maaana hawa viongozi wetu hawatujali kiasi hiki wananchi wao?
Inauma sana inapotokea viongozi wetu wakijaribu kwa hai na mali kuzuia wabunge wenzao kujadili janga hili la ajali kila kukicha watu wanakufa kila ukicha? Ina maana wao hawajaone kama kuna uzembe wa makusudi kwa wamiliki wa vyombo hivyo?
Ni mda mwafaka sasa kwa wananchi kuona haya mambo tunayofanyiwa na viongozi wetu tuliowachagua kwa kuwaamini wa wanaweza utusaidia kaika matatizo yetu kumbe tulifanya makosa makubwa sana. Ina maana wao wanajisikia raha wanapoona wananchi wakihangaika katika mateso yasiyo ya lazima?
Ajali kila siku iwe kwa mabasi, ndege, meli yani hakuna amani kwa watanzania. Tumekuwa kama wanyama wa kafara? leo nmeidharau sana serikali yangu.
Rai kwa mh Rais wetu Jakaya M Kikwete kuchukua hatua za makusudi ili kunusuru imani ya wananchi wake inayozidi kuisha moyoni mwao kwa mambo ya kipuuzi kama yaha. Nadiriki kusema Rais wanakuhujumu wasaidizi wako kwa wanavyochemka wanakupotezea
credits kwa wanachi wako kwa kuwa hata wewe huchukua hatua unapoona kuwa mambo yanaharibika.
Nawasilisha lakini michango, maoni na kukosoa nlipokusea ni ruksa.
HIvi kweli hawa watu wanashindwa kuona kama kuna haja ya kurusuhu hoja hii ikaweza kujadiliwa bungeni? Kwa nini wanadharau kiasi hiki katika mambo mhimu kaya haya ya majanga kama hili la ajali ya meli? Ina maaana hawa viongozi wetu hawatujali kiasi hiki wananchi wao?
Inauma sana inapotokea viongozi wetu wakijaribu kwa hai na mali kuzuia wabunge wenzao kujadili janga hili la ajali kila kukicha watu wanakufa kila ukicha? Ina maana wao hawajaone kama kuna uzembe wa makusudi kwa wamiliki wa vyombo hivyo?
Ni mda mwafaka sasa kwa wananchi kuona haya mambo tunayofanyiwa na viongozi wetu tuliowachagua kwa kuwaamini wa wanaweza utusaidia kaika matatizo yetu kumbe tulifanya makosa makubwa sana. Ina maana wao wanajisikia raha wanapoona wananchi wakihangaika katika mateso yasiyo ya lazima?
Ajali kila siku iwe kwa mabasi, ndege, meli yani hakuna amani kwa watanzania. Tumekuwa kama wanyama wa kafara? leo nmeidharau sana serikali yangu.
Rai kwa mh Rais wetu Jakaya M Kikwete kuchukua hatua za makusudi ili kunusuru imani ya wananchi wake inayozidi kuisha moyoni mwao kwa mambo ya kipuuzi kama yaha. Nadiriki kusema Rais wanakuhujumu wasaidizi wako kwa wanavyochemka wanakupotezea
credits kwa wanachi wako kwa kuwa hata wewe huchukua hatua unapoona kuwa mambo yanaharibika.
Nawasilisha lakini michango, maoni na kukosoa nlipokusea ni ruksa.