Spika, naibu spika, mwansheria mkuu na lukuvi: Maadui namba 1 wa taifa hil:

IDIOS

Member
May 3, 2012
84
20
alimkalisha chini akidai ameshaifunga hoja ile.

HIvi kweli hawa watu wanashindwa kuona kama kuna haja ya kurusuhu hoja hii ikaweza kujadiliwa bungeni? Kwa nini wanadharau kiasi hiki katika mambo mhimu kaya haya ya majanga kama hili la ajali ya meli? Ina maaana hawa viongozi wetu hawatujali kiasi hiki wananchi wao?

Inauma sana inapotokea viongozi wetu wakijaribu kwa hai na mali kuzuia wabunge wenzao kujadili janga hili la ajali kila kukicha watu wanakufa kila ukicha? Ina maana wao hawajaone kama kuna uzembe wa makusudi kwa wamiliki wa vyombo hivyo?

Ni mda mwafaka sasa kwa wananchi kuona haya mambo tunayofanyiwa na viongozi wetu tuliowachagua kwa kuwaamini wa wanaweza utusaidia kaika matatizo yetu kumbe tulifanya makosa makubwa sana. Ina maana wao wanajisikia raha wanapoona wananchi wakihangaika katika mateso yasiyo ya lazima?

Ajali kila siku iwe kwa mabasi, ndege, meli yani hakuna amani kwa watanzania. Tumekuwa kama wanyama wa kafara? leo nmeidharau sana serikali yangu.

Rai kwa mh Rais wetu Jakaya M Kikwete kuchukua hatua za makusudi ili kunusuru imani ya wananchi wake inayozidi kuisha moyoni mwao kwa mambo ya kipuuzi kama yaha. Nadiriki kusema Rais wanakuhujumu wasaidizi wako kwa wanavyochemka wanakupotezea
credits kwa wanachi wako kwa kuwa hata wewe huchukua hatua unapoona kuwa mambo yanaharibika.

Nawasilisha lakini michango, maoni na kukosoa nlipokusea ni ruksa.
 
CCM wameshajua kuwa kurudi bungeni 2015 ni ndoto hivyo wanachofanya sasa ni kukomoa sio haki.
 
Hao ndio walinzi wa serikali dhaifu bungeni maana huko bungeni hakuna polisi na usalama wa ikulu dhaifu....so ndio maana hao watu watatu wanakomaa sana kwa kupitia nyadhifa zao coz mostly wametokana kwa matakwa ya mdhaifu yuleyule.............ni sawa una pesa kwenye surual yako yenye mifuko miwili ukaamua kuhamisha pesa toka mfuko wa kushoto kwenda wa kulia bado pesa itakuwa ni yako tu....!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
I wanna see these leaders in the same situation like this one day!
110411-ivory-coast-gbagbo-hmed-8a.grid-6x2.jpg
 
alimkalisha chini akidai ameshaifunga hoja ile.

HIvi kweli hawa watu wanashindwa kuona kama kuna haja ya kurusuhu hoja hii ikaweza
kujadiliwa bungeni?

Kwa nini wanadharau kiasi hiki katika mambo mhimu kaya haya ya majanga kama hili la
ajali ya meli? Ina maaana hawa viongozi wetu hawatujali kiasi hiki wananchi wao?
inauma sana inapotokea viongozi wetu wakijaribu kwa hai na mali kuzuia wabunge
wenzao kujadili janga hili la ajali kila kukicha watu wanakufa kila ukicha?
Ina maana wao hawajaone kama kuna uzembe wa makusudi kwa wamiliki wa vyombo hivyo?

Ni mda mwafaka sasa kwa wananchi kuona haya mambo tunayofanyiwa na viongozi wetu
tuliowachagua kwa kuwaamini wa wanaweza utusaidia kaika matatizo yetu kumbe
tulifanya makosa makubwa sana.

Ina maana wao wanajisikia raha wanapoona wananchi wakihangaika katika mateso yasiyo
ya lazima?

Ajali kila siku iwe kwa mabasi, ndege, meli yani hakuna amani kwa watanzania. Tumekuwa
kama wanyama wa kafara? leo nmeidharau sana serikali yangu.

Rai kwa mh Rais wetu Jakaya M Kikwete kuchukua hatua za makusudi ili kunusuru imani
ya wananchi wake inayozidi kuisha moyoni mwao kwa mambo ya kipuuzi kama yaha.

Nadiriki kusema Rais wanakuhujumu wasaidizi wako kwa wanavyochemka wanakupotezea
credits kwa wanachi wako kwa kuwa hata wewe huchukua hatua unapoona kuwa mambo
yanaharibika.

Nawasilisha lakini michango, maoni na kukosoa nlipokusea ni ruksa.

Wewe unafikiri hajua kama hawamuhujumu? huu ni upepo utapita tu..... MTAJUTA KUICHAGUA CCM, NA BADO KIBANO MTAKIPATA MPAKA TUKOME......
 
alimkalisha chini akidai ameshaifunga hoja ile.


Ni mda mwafaka sasa kwa wananchi kuona haya mambo tunayofanyiwa na viongozi wetu
tuliowachagua kwa kuwaamini wa wanaweza utusaidia kaika matatizo yetu kumbe
tulifanya makosa makubwa sana.

Ina maana wao wanajisikia raha wanapoona wananchi wakihangaika katika mateso yasiyo
ya lazima.

Rai kwa mh rais wetu jakaya m kikwete kuchukua hatua za makusudi ili kunusuru imani
ya wananchi wake inayozidi kuisha moyoni mwao kwa mambo ya kipuuzi kama yaha.

Nadiriki kusema rais wanakuhujumu wasaidizi wako kwa wanavyochemka wanakupotezea
credits kwa wanachi wako kwa kuwa hata wewe huchukua hatua unapoona kuwa mambo
yanaharibika.

Nawasilisha lakini michango, maoni na kukosoa nlipokusea ni ruksa.

na wewe una matatizo nini?? Asa apo kwenye red, mambo ya ajali ndio ya kipuuzi au kuyapuuza malalamiko ya wananchi, ndo upuuzi??
Mmm usijekuwa nawe uliwapa kura yako leo unakuja na pwenti ya kuwacriticise, aya wadau mchango please, ngoja niwa bakuli langu la senene pale muleba kwa kasheke
 
Back
Top Bottom