White hacker
Member
- Feb 16, 2013
- 7
- 0
.....kitendo cha spika wa bunge kuhalalisha adhabu ya wabunge wa chadema na kumuacha mbunge wao akiyetukana tusi lililowatukana pia wapiga kura wake kinadhihirisha jins gan huyu bb n kivuli cha cmm kwa kutokutenda haki.....