spika anadai anasubiri barua kutoka kwa chama ili aweze kutambua kujiuzulu kwa Rostam na kwamba
barua ya rostam pekee haitoshi kutangaza kuthibitisha kujiuzuru kwake. lakini kwenye miaka ya 90, CUF ilishawahi
kumfukuza mbunge uanachama na kumuandikia spika wakati huo kama sikosei alikuwa msekwa kumtaarifu kuwa
kama sikosei mbunge huyo jina alikuwa anaitwa NAILA JIDAWI kuwa siyo tena mwanachama wao na hastahili kuwa
mbunge tena lakini spika alikataa kutambua barua ya chama na Naila jidawi akaendelea na ubunge wake. kuna utata hapa.
mwingine diwani wa chadema huko mbeya aliandika barua ya kujiuzulu kwa meya na baadaye aliandika barua nyingine
kufuta barua yake ya kwanza ya kujiuzulu lakini meya amekataa anadai kwa kuwa diwani alishaandika barua ya kujiuzulu
hiyo pekee inatosha na ktk hili haikusubiriwa barua ya kutoka kwa chama wala nini ? hii si double ya nguvu. inakuwaje
ndani ya nchi moja kuwe na sheria mbili tofauti na itafisiliwe kulingana na mazingira yaliyopo. naomba msaada wa ufafanuzi
jamani!.
barua ya rostam pekee haitoshi kutangaza kuthibitisha kujiuzuru kwake. lakini kwenye miaka ya 90, CUF ilishawahi
kumfukuza mbunge uanachama na kumuandikia spika wakati huo kama sikosei alikuwa msekwa kumtaarifu kuwa
kama sikosei mbunge huyo jina alikuwa anaitwa NAILA JIDAWI kuwa siyo tena mwanachama wao na hastahili kuwa
mbunge tena lakini spika alikataa kutambua barua ya chama na Naila jidawi akaendelea na ubunge wake. kuna utata hapa.
mwingine diwani wa chadema huko mbeya aliandika barua ya kujiuzulu kwa meya na baadaye aliandika barua nyingine
kufuta barua yake ya kwanza ya kujiuzulu lakini meya amekataa anadai kwa kuwa diwani alishaandika barua ya kujiuzulu
hiyo pekee inatosha na ktk hili haikusubiriwa barua ya kutoka kwa chama wala nini ? hii si double ya nguvu. inakuwaje
ndani ya nchi moja kuwe na sheria mbili tofauti na itafisiliwe kulingana na mazingira yaliyopo. naomba msaada wa ufafanuzi
jamani!.