KAYABOMBICHI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 296
- 142
Ndugai ni spika wa Tano sasa akitanguliwa na
1) Chifu Adam Sapi Mkwawa
2) Mzee pius msekwa
3) Marehemu Samwel Sitta
4)Mama Anne Makinda
Kila spika amakuwa na namna yake ya kuongoza unafikiri Spika gani kwako amekuwa spika bora!
Mie binafsi nilipenda uongozi wa mzee Sitta kwa kuliweka katika ramani nzuri bunge na kulifanya kuwa huru na la wazi japo alikuwa na mapungufu ya kibinadamu lkn aliikuza demokrasia ya bunge.
1) Chifu Adam Sapi Mkwawa
2) Mzee pius msekwa
3) Marehemu Samwel Sitta
4)Mama Anne Makinda
Kila spika amakuwa na namna yake ya kuongoza unafikiri Spika gani kwako amekuwa spika bora!
Mie binafsi nilipenda uongozi wa mzee Sitta kwa kuliweka katika ramani nzuri bunge na kulifanya kuwa huru na la wazi japo alikuwa na mapungufu ya kibinadamu lkn aliikuza demokrasia ya bunge.