Spika mama ana makinda akimbia bunge,kikaa cha bunge jioni kimeanza lkn cha kushangaza ni karibu nusu saa imepita lkn mama ana makinda haonekani
Amerudi bi kirobotoSpika mama ana makinda akimbia bunge,kikao cha bunge jioni kimeanza lkn cha kushangaza ni karibu nusu saa imepita lkn mama ana makinda haonekani,mama amepata tatizo gani?
Siyo kweli....labda wewe mkuu.Kibo 10 vipi upo?nasikia huu mswaada wa gesi na mafuta ukipita ndio tumeliwa hivyo ni kweli?
Spika mama ana makinda akimbia bunge,kikao cha bunge jioni kimeanza lkn cha kushangaza ni karibu nusu saa imepita lkn mama ana makinda haonekani,mama amepata tatizo gani?
Jamani hv Spika anaposema NAFIKIRIA WALIOAFIKI WAMESHINDA ANAMAANISHA NINI HIVI KUMBE BUNGENI HOJA ZINASHINDA KWA KUFKIIRIKA!!!!!