Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,507
- 113,628
Bunge limeanza leo, kambi ya upinzani iliyotangazwa bado ni batili, haijatambulika rasmi. Upinzani ni shaghala baghala,
Hayo na mengine mengi kufafanuliwa na Mhe. Spika mpya kwenye press conference yake ya kwanza.
Hali ikiruhusu, nitawaletea live, ikishindikana, nitahudhuria na kuwaammbia kilichojiri.
Tuendelee...
Bunge limeanza leo, kambi ya upinzani iliyotangazwa bado ni batili, haijatambulika rasmi. Upinzani ni shaghala baghala,
Hayo na mengine mengi kufafanuliwa na Mhe. Spika mpya kwenye press conference yake ya kwanza.
Hali ikiruhusu, nitawaletea live, ikishindikana, nitahudhuria na kuwaammbia kilichojiri.
Tuendelee...
Anaanza saa ngapi?
Bunge limeanza leo, kambi ya upinzani iliyotangazwa bado ni batili, haijatambulika rasmi. Upinzani ni shaghala baghala,
Hayo na mengine mengi kufafanuliwa na Mhe. Spika mpya kwenye press conference yake ya kwanza.
Hali ikiruhusu, nitawaletea live, ikishindikana, nitahudhuria na kuwaammbia kilichojiri.
Tuendelee...
vipaumbele vya Makinda.
1.huduma bora za wabunge.
2.value for money
3. Capacity building kwa wabunge.
Kaulizwa kuhusu udikteta. Kasema atakuwa fair