DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,259
- 4,690
Wakuu, naomba niwakumbushe kimoja! Kilichotokea kimeonyesha kwamba CCM hawana ajenda ya kisiasa ndo maana hawana hoja zakitaifa! Angalia vijana waliopandikizwa humu, fikra finyu hawana hata uwezo wa kujenga hoja! Ninaishia kuwacheka tu coz akili kmsngi hamna! Viva ChaDema!