Spika makinda hatimae aumbuka,ajikosha

Spika makinda hatimae aumbuka,ajikosha

Bi kiroboto aliona kibarua chake kinataka kutingishwa kunyauka wkt anajua hta kwao hakubaliki bora akubaliane na mwenye nchi ni full unafiki
 
Ccm kufa itakufa tu na wabunge wake wataanguka tu! Ee Mungu tuokoe na hiki chama cha shetani
 
Mkweree anajua nani anawashawishi hawa wabunge wa ccm wawe mazuzu ili kazi ya serikali yake iwe ngumu; je mnafikiri hajui mbunge kama Beatrice shelukindo anaposimama na kuzungumza mpaka povu linamtoka mndomoni anazungumza kwa niaba ya nanai? Hivyo basi kwa misingi hiyo ndiyo maana Mkweree anadharau mapendekezo mengi ya bunge yanayopelekwa serikalini kufanyiwa kazi na wala sina haja ya kuyaorodhesha hapa!!
 
Nafuatilia bunge,baada ya Kamanda Lissu kumaliza hotuba ya kambi rasmi juu ya marekebisho ya rasimu ya katiba bi mkubwa akasimama akasema 'huo ndo ukweli wenyewe na hao ndo wakweli tuwaunge mkono' kwa hili laonekana hawa jamaa wa magamba wameshinikizwa kuujadili hawana jinsi,namsubiria tena leo Mama Kilango aliyeshadadia mwaka jana na kuiponda chadema je atasemaje.CDM 4EVA

Hapo kwenye red inamuhusu pia yule kilaza wa mtera sijui anaitwa nanivile?
 
Kilango ametoa hoja dhaifu akipinga Wakurugenzi wa Halmashauri kuratibu mchakato wa katiba ngazi ya wilaya badala ya maDC akidai eti wakurugenzi hawana watu wa kusimamia hiyo kazi. Nimemdharau sana huyo mama,ukizingatia ni hawa wakurugenzi ambao wana nyenzo zote muhimu huko wilayani na ambao siku zote wakati wa uchaguzi wamekuwa wanasimamia chaguzi kuanzia wa Rais,wabunge na madiwani.
 
Ninachojua ni kwamba, kama kuna wabunge wa CCM wanasoma miswaada yote kwa makini, basi hawazidi kumi, na hapa ndipo kuna tatizo na serikali siku zote wanajua hivyo. Uvivu wa kusoma na hasa kama mswada wenyewe umejaa kurasa kibao ndiyo ugonjwa wetu mkubwa. kinachotokea ni kinyume chake kwa upinzani. na wapinzani wanafanya hivyo kwa sababu moja kuu, "kutafuta makosa" lakini jadi yetu ya uvivu wa kusoma inabaki palepale na kwa bahati mbaya sana lugha inayotumika si wote wanaoielewa kwa ufasaha. Spika na wabunge wa CCM/CUF sina uhakika kama wanafanya hivyo kwa dhamira ya dhati kutoka moyoni.
 
Nguvu za maskini ni pato la nguvu la Tajiri,kama ni kweli 5 asilimia ni ndogo sana. JAMANI TUJIULIZE TUNAFAHAMU VIZURI MAKUBALIANO WALIOFIKIA KATI YA KIKWETE NA CHADEMA. Tusishangilie penalti wakati goli halijingia.
 
Taratibu ukweli utajitenda na unafiki, hata kama ni 5% walau inaanza kuonekana Bungeni kwamba Chadema wanasimama upande upi, naomba waendelee kukaza buti.
 
Spika bana..yaani ni fuata upepo mpaka aibu.
 
Hakuna lolote amesifu kinafiki tu, ni kwa vile Tundu Lissu amemsifu JK katika hotuba yake, kama Lissu asingemsifu JK sijui kama hili lingetokea! tafakari!
 
Chini ya ccm hatutapata Katiba nzuri kwa taifa hili... Hata wajitahidi vipi lazima kuna hila watatia humo. Na vipi ni ruksa kujadili muungano na mamlaka ya rais???
 
aibu yao wenyewe! kumbe wanapokuwa wanashangilia upumbavu wanakuwa wanajua kabisa ni upumbavu ila hawana jinsi tu. Kweli Tanzania nakupenda

Mkuu, huwa wanalifahamu sana ila wanajidai hamnazo kwa muda.
 
Wokovu umeingia Nyumbani kwa Makinda!
Mpaka wabunge wa magamba wameiunga mkono! siamini! labda wale chawa wa Pharaoh waliwavamia mpaka wametia adhabu!
Wao wana Pesa Sisi Tuna MUNGU tusiogope tutashinda
Mungu Ibariki Tanzania

 
Ndugu zangu hivi hamjui kuwa Chadema ndo wanaongoza nchi,ndo maana kila zuri wanalolisema serikali inalitekeleza.Nasikia hata serikali kuamua kukutana na madaktari ni ushauri alioupata Kikwete juzi usiku toka Chadema.Nasikia Kikwete hataki tena ushauri toka chama chake kwani humpa ushauri mbaya na usio mzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom