Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Chenge alimaanisha nini alipo sema kuwa anasikitika sana bunge lililopita halikuwa linaruhusu wala kuchukua mawazo mazuri ya wapinzani kama ilivyo sasa.
Hii inamaana anampiga madongo Samweli Sita au vipi?
Chenge ama kweli mnafiki. Mwenyewe naye alikuwa waziri wakati huo, sana yeye mbona alikuwa haungi hoja za wapinzali wakati huo?