Baada ya viongozi wa CHADEMA kutoa namba za spika kwa ajili ya wananchi kuhoji uonevu unaofanywa na kiti chake, wananchi wameikitikia mwito huo vizuri kwa kumtukana spika, TCRA na polisi wanafuatilia wahusika na watachukuliwa hatua za kisheria.
Source: Mwananchi
Suala lililowazi kuwa kumtukana yule mama haisaidii na sio ustaarabu wa kitanzania. Halafu tunaomba mtupe namba za dk slaa mana watanzania pia tuna ujumbe tunataka tumpatie...
Angalieni mama wa watu asije akanywa sumu
hakuna cha watanzania walioitikia wito usifikiri wote ni mabwege kama ulivyo.Ni Haohao chadema wanaotuma sms hizoBaada ya viongozi wa CHADEMA kutoa namba za spika kwa ajili ya wananchi kuhoji uonevu unaofanywa na kiti chake, wananchi wameikitikia mwito huo vizuri kwa kumtukana spika, TCRA na polisi wanafuatilia wahusika na watachukuliwa hatua za kisheria.
Source: Mwananchi
watu wamemtukama mama matusi ya nguoni aisee,anasema baada ya matusi kuzidi ilibidi azime simu,anashangaa kuwa pamoja na kwamba yeye ni kiongozi wa serikali lakini bado ni mama sasa kwa nn ametendewa hivyo?