MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,173
Ndugai lazima awanyooshe. Wakileta za kuleta anawatandika na siwa
Patawaka moto! ukawa jiandaeni kwenda vitani sio bungeni
Nashindwa kuelewa uelewa mdogo ulioko JF kwa sasa! Kwa nini munashangilia kwa mtindo wa kuzomea? Kwa nini munaona kama Kazi ya Spika ni kukomesha UKAWA?
Vijana wekeni nguvu kwenye akili. Siyo kila kitu ni mpira wa kukabana na kufunga magoli. Hilo ni Bunge na tunahitaji hoja za kujenga nchi. Ninyi bado munawaza kuzomea UKAWA. we want action!