Daimler
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 556
- 973
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitamba leo bungeni, ametoa ufafanuzi wa takwimu mbalimbali za umri na elimu za Wabunge na kueleza kuwa, Bunge hilo Lina asilimia 80% ya Wabunge wenye muriti wa zaidi ya miaka 40, tofauti na watu wengi ambao wamekuwa wakidai kuwa, Bunge hilo ni la Vijana.
Ndugai ameeleza kuwa, kwenye Elimu, Wabunge wa Viti Maalum ni kama ifuatavyo:
- Elimu ya sekondari: CUF - 05, CHADEMA - 05 na CCM - 14
- Diploma: CUF - 08, CHADEMA - 08 na CCM - 14.
- Bachelor: CUF - 01, CHADEMA - 23 na CCM - 32.
- First Degree: CUF - 14, CHADEMA - 31 na CCM - 114.
- PhD: CUF - 01, CHADEMA - 01 na CCM - 27.
- Professor: CUF - 00, CHADEMA - 00 na CCM - 07.
Dah!! CCM imetisha kwa kuwa na Maprofesa balata. Kwingine huko, si CHADEMA wala CUF, naona hakuna vipanga wa kutosha. Hongereni Wabunge wa CCM.