DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Bunge letu linaendeshwa kwa kodi ya Watanzania wa leo huku likiacha rekodi [HANSARD] yake ya leo ili ije kuwa faida ya kutumika kwa kizazi kijacho [Coming New Generation]. Tendo la tamko la Mwenyekiti [Spika] aliyekuwa anaendesha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jioni ya leo tarehe 3/08/2011,kazuia waandishi wa Bunge wasiandike kwenye Hansard ya Bunge maneno ya yaliyotamkwa na Mbunge wa CCM toka jimbo la Ludewa bwana FURUKUNJOMBE.
Maneno hayao yaliyotamkwa na Mbunge huyo ni kama kuwa bila Wizara ya Uchukuzi kutenga pesa kwa ajili ya kivuko cha wilayani kwao kuepusha vifo vya mara kwa mara vya Wananchi vipatavyo watu ishrini kwa mwaka,wakiwa ni wahanga wa vifo vya maji kwa kuzama wakivuka maji na vifaa vyao kama mitumbwi yao.Hivyo basi Mbunge huyo atashawishi Wananchi wake waandamane hili kama hoja ya bajeti hiyo itapita pasipo kusikilizwa ombi lao.Pia akatoa Mchango wake kuwa ikibidi Serikali iwanyonge Wabunge wote wasiotimiza ama kukidhi mahitaji ya kutatua matatizo ya Wananchi.
Hakika yalikuwa maneno mwiba sana kwa CCM kwa kuwa ndio chama tawala ukizangatia yamesemwa na Mbunge wa chama hicho hicho pia.Lakini yalikuwa ni maneno muhimu sana kuingia kurekodiwa kwenye Hansard ya Bunge letu kuweka kumbukumbu sahihi ya alichokizungumza mbunge huyu.
Sikuona TUSI ama shambulio lolote la AIBU dhidi ya matamshi ya MBUNGE huyu machachari wa CCM. Ni kwa faida ya TAIFA kuweka kumbukumbu kwa VIZAZI VIJAVYO [COMING GENERATION].Kumbe kupitia Hansard vizazi viijavyo vitapima uwezo wa WABUNGE WETU katika kufikilia kupitia hizo hizo HANSARD HIZI ZINAZOANDIKWA LEO,uenda wakajifunza uwezo wa kufikili wa Wabunge wa Sasa baada ya miaka Hamsini [50] hata Mia [100] ijayo.
Watapima uwezo wa kutoa hoja kwa Wabunge wetu uenda mawazo ya Mbunge wa Ludewa Bwana FURUKUNJOMBE aliyoyatamka leo na kisha Mwenyekiti akakata yasiandikwe kwenye Hansard yanaweaza yakawa ni kivutio na kutumika kwa usahihi kwenye kizazi hicho kijacho kama sio leo na wao kumuona kuwa alikuwa kiona mbali [Man of Vision] katika kuhukumu Watendaji wa Umma na uenda wakampa Nishani ya kutukuka kama zama hizi amefikilia hivi basi angeishi kizazi chao angekuwa wanaelewana Lugha Moja.
Hakika Bunge letu litakuwa alijawatendea haki wana Ludewa kwa kuto andika maneno ya Mbunge wao kwenye Hansard.Kiti lini MTAACHA ITIKADI YA UCCM ILI MTENDE MAMBO KWA NIA NA FAIDA YA TAIFA NA VIZAZI VIAJVYO.HAKIKA NITAOMBA MATAMKO YA MBUNGE HUYO YAANDIKWE NDANI YA HANSARD VINGINEVYO TUAMBIWE KAMA KUNA SHERIA YOYOTE YA NCHI AU KANUNI ZA BUNGE KAVUNJA.NA KAMA ALIVUNJA YAANDIKWE ILI KAMA NI KOSA ILI WATAKAO KUJA KUJIFUNZA WAONE MBUNGE HUYO FURUKUNJOMBE ALIHUKUMIWA KWA KUTAMKA MANENO HAYA,AMBAYO KWA KANUNI HUSIKA ZA BUNGE LILIKUWA NI KOSA NA HAKAHUKUMIWA, NA SIO USHABIKI WA KUKIMBIA UKWELI KWA KUWA MBUNGE HUYO WA CCM ATAKUWA ANASHABIKIA MFUMO WA CHAMA CHA CHADEMA WA KUDAI HAKI KWA MAANDAMANO KAMA CHADEMA WANAVYOPENDELEA KUUTUMIA.
Mtakataa wasisome kwenye Hansard za Bunge kisha wakakuta taarifa hizo huku baada ya miaka hiyo hamsini au mia ijayo watawazalau wale wote walioshriki kuzuia yasiandikwe kwenye kwenye Hansard.Ndipo hapo watawazodoa vizazi vyenu kuwa wamerithi woga na nidhamu ya ovyo isiyo na tija wala nia ya kujenga bali kufukia na kufunika yasiyo na sababu.
Kwani lipi baya kusema likawa limesikika au kuandika na kuacha kumbukumbu ili Mbunge huyo kama Watanzania WAMEMUHUKUMU KWA UBAYA AU UZURI [POSITIVE OR NEGETIVE] BASI NI HAKI KUWAANDIKIA HANSARD VIZIZA VIJAVYO NAO WAMUHUKUMU KIVYAO KAMA NI HASI AU CHANYA KWA MUJIBU WAO WENYEWE.
HELLOOOOW CCM KIKWETE NAMPA POLE JAMANI JAMANI JAMANI KUNA SEHEMU UWA NIKIFIKA NAJIULIZA NAKUKILI KWELI KIKWETE KWA AINA HII YA VIONGOZI WASIOJUA NI KWA NINI WAMEKUA VIONGOZI NA WAMEFIKAJE KUWA VIONGOZI NI HATARI SANA.POLE MR PRESIDENT!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Maneno hayao yaliyotamkwa na Mbunge huyo ni kama kuwa bila Wizara ya Uchukuzi kutenga pesa kwa ajili ya kivuko cha wilayani kwao kuepusha vifo vya mara kwa mara vya Wananchi vipatavyo watu ishrini kwa mwaka,wakiwa ni wahanga wa vifo vya maji kwa kuzama wakivuka maji na vifaa vyao kama mitumbwi yao.Hivyo basi Mbunge huyo atashawishi Wananchi wake waandamane hili kama hoja ya bajeti hiyo itapita pasipo kusikilizwa ombi lao.Pia akatoa Mchango wake kuwa ikibidi Serikali iwanyonge Wabunge wote wasiotimiza ama kukidhi mahitaji ya kutatua matatizo ya Wananchi.
Hakika yalikuwa maneno mwiba sana kwa CCM kwa kuwa ndio chama tawala ukizangatia yamesemwa na Mbunge wa chama hicho hicho pia.Lakini yalikuwa ni maneno muhimu sana kuingia kurekodiwa kwenye Hansard ya Bunge letu kuweka kumbukumbu sahihi ya alichokizungumza mbunge huyu.
Sikuona TUSI ama shambulio lolote la AIBU dhidi ya matamshi ya MBUNGE huyu machachari wa CCM. Ni kwa faida ya TAIFA kuweka kumbukumbu kwa VIZAZI VIJAVYO [COMING GENERATION].Kumbe kupitia Hansard vizazi viijavyo vitapima uwezo wa WABUNGE WETU katika kufikilia kupitia hizo hizo HANSARD HIZI ZINAZOANDIKWA LEO,uenda wakajifunza uwezo wa kufikili wa Wabunge wa Sasa baada ya miaka Hamsini [50] hata Mia [100] ijayo.
Watapima uwezo wa kutoa hoja kwa Wabunge wetu uenda mawazo ya Mbunge wa Ludewa Bwana FURUKUNJOMBE aliyoyatamka leo na kisha Mwenyekiti akakata yasiandikwe kwenye Hansard yanaweaza yakawa ni kivutio na kutumika kwa usahihi kwenye kizazi hicho kijacho kama sio leo na wao kumuona kuwa alikuwa kiona mbali [Man of Vision] katika kuhukumu Watendaji wa Umma na uenda wakampa Nishani ya kutukuka kama zama hizi amefikilia hivi basi angeishi kizazi chao angekuwa wanaelewana Lugha Moja.
Hakika Bunge letu litakuwa alijawatendea haki wana Ludewa kwa kuto andika maneno ya Mbunge wao kwenye Hansard.Kiti lini MTAACHA ITIKADI YA UCCM ILI MTENDE MAMBO KWA NIA NA FAIDA YA TAIFA NA VIZAZI VIAJVYO.HAKIKA NITAOMBA MATAMKO YA MBUNGE HUYO YAANDIKWE NDANI YA HANSARD VINGINEVYO TUAMBIWE KAMA KUNA SHERIA YOYOTE YA NCHI AU KANUNI ZA BUNGE KAVUNJA.NA KAMA ALIVUNJA YAANDIKWE ILI KAMA NI KOSA ILI WATAKAO KUJA KUJIFUNZA WAONE MBUNGE HUYO FURUKUNJOMBE ALIHUKUMIWA KWA KUTAMKA MANENO HAYA,AMBAYO KWA KANUNI HUSIKA ZA BUNGE LILIKUWA NI KOSA NA HAKAHUKUMIWA, NA SIO USHABIKI WA KUKIMBIA UKWELI KWA KUWA MBUNGE HUYO WA CCM ATAKUWA ANASHABIKIA MFUMO WA CHAMA CHA CHADEMA WA KUDAI HAKI KWA MAANDAMANO KAMA CHADEMA WANAVYOPENDELEA KUUTUMIA.
Mtakataa wasisome kwenye Hansard za Bunge kisha wakakuta taarifa hizo huku baada ya miaka hiyo hamsini au mia ijayo watawazalau wale wote walioshriki kuzuia yasiandikwe kwenye kwenye Hansard.Ndipo hapo watawazodoa vizazi vyenu kuwa wamerithi woga na nidhamu ya ovyo isiyo na tija wala nia ya kujenga bali kufukia na kufunika yasiyo na sababu.
Kwani lipi baya kusema likawa limesikika au kuandika na kuacha kumbukumbu ili Mbunge huyo kama Watanzania WAMEMUHUKUMU KWA UBAYA AU UZURI [POSITIVE OR NEGETIVE] BASI NI HAKI KUWAANDIKIA HANSARD VIZIZA VIJAVYO NAO WAMUHUKUMU KIVYAO KAMA NI HASI AU CHANYA KWA MUJIBU WAO WENYEWE.
HELLOOOOW CCM KIKWETE NAMPA POLE JAMANI JAMANI JAMANI KUNA SEHEMU UWA NIKIFIKA NAJIULIZA NAKUKILI KWELI KIKWETE KWA AINA HII YA VIONGOZI WASIOJUA NI KWA NINI WAMEKUA VIONGOZI NA WAMEFIKAJE KUWA VIONGOZI NI HATARI SANA.POLE MR PRESIDENT!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!