johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,778
- 145,708
majizi ya kura yanafikiria kula tu na si service kwa watu. mashetani wakubwa , Mungu yaangamize yasombwe na tsunami ya hanangSpika Dr Tulia amesema CCM kuna nafasi nyingi unaweza kukosa kwenye kuchaguliwa lakini ukaja Kuteuliwa Msinuniane Uongozi ni kuachiana kijiti
Dr Tulia amesema hayo wakati akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Komredi Mwalunenge
Source: Mwananchi
Lucas na ChoiceVariable Msinuniane π
Mwambie Bilionea Sugu asinune!majizi ya kura yanafikiria kula tu na si service kwa watu. mashetani wakubwa , Mungu yaangamize yasombwe na tsunami ya hanang
Nawe utasomba na tsunami ya hanang huko uliko, sijui wapiMwambie Bilionea Sugu asinune!
Yatasombwa na yanazidi kusombwa. Kuna likubwa limoja litaondoka soonmajizi ya kura yanafikiria kula tu na si service kwa watu. mashetani wakubwa , Mungu yaangamize yasombwe na tsunami ya hanang
πππNawe utasomba na tsunami ya hanang huko uliko, sijui wapi
Amini nakwambia, hata CUF, CHADEMA, TADEA na vyama vingine ilmradi ni wa Afrika wakipewa nafasi ya uongozi mambo yatakuwa yaleyale.majizi ya kura yanafikiria kula tu na si service kwa watu. mashetani wakubwa , Mungu yaangamize yasombwe na tsunami ya hanang
niwekee picha please, wewe huji kutoa pole?πππ
Nimeona Nabii Lema katoa Msaada wa Mahema
ππniwekee picha please, wewe huji kutoa pole?
ππWalionuna ni mdudu na mwambulukuku.
Hili ndilo tatizo la CCM. Walishachukulia kuwa ni halali kuteuana kichama na kugawana nafasi au madaraka ktk utumishi wa umma. Ni haibu Dr. mzima kusema haya aliyoyasema. Amewahidi nafsi zipi, ukurugenzi EWURA au kwenye almashahuri?Spika Dr Tulia amesema CCM kuna nafasi nyingi unaweza kukosa kwenye kuchaguliwa lakini ukaja Kuteuliwa Msinuniane Uongozi ni kuachiana kijiti
Dr Tulia amesema hayo wakati akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Komredi Mwalunenge
Source: Mwananchi
Lucas na ChoiceVariable Msinuniane
Haichekeshi we ajuza.Walionuna ni mdudu na mwambulukuku.
Utakufa wewe na kuwaacha unaowaombea mabaya. Maana Mungu siyo mwanadamu na hapangiwi na mwanadamu.majizi ya kura yanafikiria kula tu na si service kwa watu. mashetani wakubwa , Mungu yaangamize yasombwe na tsunami ya hanang
Wewe Tindo usimjibu Faizafoxy kama unavyonijibu mimi. Faiza ana heshima yake kubwa na kuheshimika sana humu jukwaani.kwanza sizani hata kama mnalingana umri.kwa hiyo uwe na adabu na heshima kwa wakongwe wetu wa jukwaa hili na waliyolipatia heshima jukwaa letu.Haichekeshi we ajuza.
Sawa descpline master. Humu ndani umri unapimwa kwa point zako.Wewe Tindo usimjibu Faizafoxy kama unavyonijibu mimi. Faiza ana heshima yake kubwa na kuheshimika sana humu jukwaani.kwanza sizani hata kama mnalingana umri.kwa hiyo uwe na adabu na heshima kwa wakongwe wetu wa jukwaa hili na waliyolipatia heshima jukwaa letu.
Yaani ccm ishajipindua kikamilifuSpika Dr Tulia amesema CCM kuna nafasi nyingi unaweza kukosa kwenye kuchaguliwa lakini ukaja Kuteuliwa Msinuniane Uongozi ni kuachiana kijiti
Dr Tulia amesema hayo wakati akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Komredi Mwalunenge
Source: Mwananchi
Lucas na ChoiceVariable Msinuniane π