Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,004
Sijajua mpaka sasa tafsiri yake ni nini, lakini lililotokea ni kwamba wale askari wa FFU waliokuwa wanailinda nyumba ya Mh. Spika wetu kipenzi wamepewa amri ya kuondoka na kuacha lindo hilo la nyumba binafsi ya Mh. Spika.
Kwa barua waliyosomewa Askari hao ni kwamba kwa sasa Mh. Spika inabidi ajitafutie walinzi binafsi wa kuendelea kutoa ulinzi nyumbani kwake eneo la Kijitonyama Dar es Salaam.
Source: Ni rafiki yangu ambaye mdogo wake ni mmoja wa Askari waliokuwa wanailinda nyumba ya Mheshimiwa.
Kwa barua waliyosomewa Askari hao ni kwamba kwa sasa Mh. Spika inabidi ajitafutie walinzi binafsi wa kuendelea kutoa ulinzi nyumbani kwake eneo la Kijitonyama Dar es Salaam.
Source: Ni rafiki yangu ambaye mdogo wake ni mmoja wa Askari waliokuwa wanailinda nyumba ya Mheshimiwa.