KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
kwa muda siku mbili mfululizo, spika wa bunge letu anasoma dua na kusimamia kipindi cha maswali na majibu tu baada ya hapo huondoka na kumwachia ndugai. Lakini cha kusikitisha kesho yake asbh anaongoza dua.anachokwepa ni nini?