Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Asee brother kuna picha moja kati ya zile za mwanzoni ni kabinti kanaponda kokoto yaan daah imeniumiza hiyo picha,nimehisi moyo kuumia kuliko kawaida. Mungu muumba akamwelekezee mkono wake huko aliko kama hiyo picha ni halisi@mshana jr
Yeah ndio maana kwenye heading nikasema hasi na chanya.... Mungu ana kusudio lake kwa kila uumbaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…