Yeah ndio maana kwenye heading nikasema hasi na chanya.... Mungu ana kusudio lake kwa kila uumbajiAsee brother kuna picha moja kati ya zile za mwanzoni ni kabinti kanaponda kokoto yaan daah imeniumiza hiyo picha,nimehisi moyo kuumia kuliko kawaida. Mungu muumba akamwelekezee mkono wake huko aliko kama hiyo picha ni halisi@mshana jr
Nimeipenda hii....................
Hivi kwanini watoto wa uswazi wana makamasi sana kuliko watoto wa kishua?
Nobody is there to take careHivi kwanini watoto wa uswazi wana makamasi sana kuliko watoto wa kishua?
[HASHTAG]#Mshana[/HASHTAG] Dah
Kweli udugu unanguvu sana ona hao washkaji wanavyofurahi
Hawa jamaa wamekaa ki hela hela tu