Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Mtangazaji mahiri wa ITV anayeripoti habari za Lowassa leo anasubiriwa kwa hamu kubwa kuwapa raha watanzania. Kijana anapiga kazi ya maana kiasi cha kuwakuna wananchi. Leo ni leo spencer lameki saa mbili taarifa ya habari ITV

Spencer Lameck wa ITV wakati akiripoti taarifa ya habari kuhusu mkutano wa Lowasa Musoma kuwa Rekodi ya mafuriko mjini Musoma iliyokaa kwa miaka 16 tangu mazishi ya baba wa taifa leo imevunjwa na Lowasa
 
Huyu kijana anafaa kabisa kupewa uongozi mzuri katika serikali ijayo ya mh E. Ngoyai Lowassa
 
tunasubiri kwa hamu sanaaa. ITV inatupa raha Sana watanzania wapenda mabadiliko.
 
Big Up SL You havevmade yourself a place in the poloticl nandscape and media.

Hoewer, critics may be luming out there for your downfall.
 
Mtangazaji mahiri wa ITV anayeripoti habari za Lowassa leo anasubiriwa kwa hamu kubwa kuwapa raha watanzania. Kijana anapiga kazi ya maana kiasi cha kuwakuna wananchi. Leo ni leo spencer lameki saa mbili taarifa ya habari ITV

Hivi Huyu Dogo Si Ndiyo Huyu WAKATI Akiwa Hapo SJMC Alikutwa Na KASHFA YA KULA CHABO KTK MTIHANI Na KUFUMANIWA Na Denti Wa Darasa La 4 au? Halafu Sijui Hii Tabia Yake Ya KUPENDA KUOMBA KUOMBA HELA Kwa Sources Wa HABARI Ameiacha. Na Safari Hii AKIJISAHAU Tu Na Kuja Ktk Press Yangu Na AKITAKA Tip " NITAMPUMULIA KISOGONI " Ili Akanitangaze Vizuri Ktk TAARIFA Yake Ya Habari.
 
Hivi Huyu Dogo Si Ndiyo Huyu WAKATI Akiwa Hapo SJMC Alikutwa Na KASHFA YA KULA CHABO KTK MTIHANI Na KUFUMANIWA Na Denti Wa Darasa La 4 au? Halafu Sijui Hii Tabia Yake Ya KUPENDA KUOMBA KUOMBA HELA Kwa Sources Wa HABARI Ameiacha. Na Safari Hii AKIJISAHAU Tu Na Kuja Ktk Press Yangu Na AKITAKA Tip " NITAMPUMULIA KISOGONI " Ili Akanitangaze Vizuri Ktk TAARIFA Yake Ya Habari.

Look, the witch are always out there ready to tarnish someone's image and poison theier career as he/ she climbs up the ladder. People Kills People (PKP) you know.
 
Spensa Lameck anajitahidi sio kam yule wa awali asiraji mvungi.Anachotakiwa ni kuweka graphics vizuri picha ziwe nzuri na sauti ya mheshimiwa raisi itoke vizuri.Aongeze mbwebwe tumemkubari
 
Huyu dogo sasa anamfunika Buhohela, wakati wanaanza kampeni alikuwa anasuasua sana lakini kadiri siku zinavyosegea mbele anaimarika. Nakupongeza sana Spensa Lameck na Mungu akupe nguvu zaidi
 
Back
Top Bottom