Speed ya Internet ya tiGO inatisha

Speed ya Internet ya tiGO inatisha


Mkuu, unapofanya hivi vitu unatakiwa kuwa makini sana na siyo kubahatisha vitu, hizo bundle ulizoweka wewe ni maalumu kwa matumizi ya simu..... na hivyo hivyo kuna bundle za matumizi makubwa ya kwenye modem... tizama hapa chini kwenye picha...

int-pack-packages.gif

Standard week ndiyo tsh 15,000- na mwezi ni tsh 45,000-

Tunatumia hizo za mobile internet kisha unachomeka PC yako kupitia Nokia PC Suite
 
Shop za tigo ziko mitaa gani Dar wakuu. natua bongo weekend hii nataka nipate hiyo kitu ya speed kali. Msaada please!
 
294.8 KB download for 45000??is too expencive brother,upload ikoje?mimi download ni 512kb na upload ni 245kb nalipa 37000 sawa na hela ya tanzania


Mkuu hata tunazungumzia home Tanzania., ka ni nje mbona mi nnadownload hadi kwa 1.2mb/sec na nna lipa sawa na 24,000 Tzs???
 
Back
Top Bottom