speed ya internet wilayani mbona tatizo?

vanpersie

Member
Mar 3, 2012
82
36
wakuu mambo niaje? naomba kuuliza hivi kwanini mitandao yetu ya voda, airtel zantel na tigo hawana 3g wilayani? nipo mkoa wa kagera kama wiki tatu hivi kikazi lakini ukiwa mkoani pale Bukoba unapata 3g vizuri tu, ila ukifika wilaya za karibu kama misenyi na karagwe basi inakuwa mgogoro, kama ni idm spidi kubwa unapata 20Kb/s na hapo haitulii. wakati ukiwa Bukoba mkoani inafika mpaka 500Kb. je hii ni moderm yangu tuu au ndo hakuna 3g wilayani? naombeni ushauri wenu wakuu nifanyeje niongeze spidi yake maana ntakuwa huku kwa mud kama miezi mitatu hivi na sana sana ntakuwa kwenye hizo wilaya.natanguliza shukrani zangu.
 
Ndio wilaya nyingi hazina 3G coverage kwasababu ya demand, huwezi funga mtambo wa 3G wakati unawateja 10 eneo zima.
 
Sawa kaka, nashukuru kwa taarifa hapo ngoja niwe mpole tu mpaka nikifika mjini.
 
wilayani kupata 3g ni ishu. Mambo yote ni mkoani tena centre, ukiwa pembeni kidogo tu 3g imepotea. Haya wakuu na hii ndio speed ya net ya voda maeneo ya moro. Kwakweli inaridhisha.

voda net 3.jpg voda net 2.jpg voda net.jpg

cheers vodacom.
 
ni kweli hata mie nimetoka daslam juzi niko hapa iringa network ni kimeo natumia airtel yaani kudownload ni ishu kubwa sana
 
Tatizo haliko huko mikoani peke maana hatahapa dar maeneo ya Buguruni hupati 3g ya zantel!!!
Funga kazi ni Yombo Kiilakala huko airtel pekee ndo inatesa zilizobaki tigo,voda,zantel zote "edge" yaani kizungu zungu thupu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom