SPECIAL THREADS: Post home screen (Mwonekano) wa simu za wana JF

nazipenda redmi mkuu niko na note 5 nakula raha na nzuri ni chinese version asikwambie mtu ila nlitaka ku upgrade mpaka note 8 due to storage issues hi iko na 4/64gb note 8 ina 6/128gb that is the issue kuna data nakosa wapi niziweke bad enough mega wamenipa 40 days nsipolipia plan yoyote naloose data
ishu tu naona price ya note 8 imechangamka kidgo
Lipia Google drive si ghali au kafanye exchange ukiwa na top up
 
Comp launCher
Screenshot_20210202-171935_Computer%20Launcher.jpg
 
Yeah inatumia micro kernel,hii wanawapa advantage google Android maana issue kubwa ni kumiliki platform ya apps na si OS Tofauti sababu ni ngumu sana kuwashawishi developers kuanza development za apps kwaajili ya platform mpya
Ndio maana wameona kwenda na option hii kitu ambacho tayari kinaexist
Ni kweli, kuhusu app developers wamepewa offer ya kutotozwa kwa mauzo ya apps zao kwenye App Gallery kwa miezi 24, baada ya miezi hiyo kuisha watakatwa kwa asilimia 30 tu ya mauzo. Hii itasaidia kampuni kupata app developers wengi na hasa kwakuwa App Gallery ni ya tatu baada ya Google Playstore na Apple app store.

 
Hii ni vita ya Huawei vs ios,naskia ios zimeanza kupigwa discount kwasababu ya panic
Hapa google yuko pembeni anatazama uku anakula porp corn
Kwa China stores za ios hazikupata wateja wengi katika robo ya kwanza ya mwaka 2020. Wenyeji wa China walisusia kununua simu zenye asili ya Marekani kwasababu ya Huawei kupigwa Ban na Marekani. Badala yake walinunua simu za Huawei na nyingine kutoka Vivo, Oneplus, Xiaomi, Oppo n. k
 
Ni kweli, kuhusu app developers wamepewa offer ya kutotozwa kwa mauzo ya apps zao kwenye App Gallery kwa miezi 24, baada ya miezi hiyo kuisha watakatwa kwa asilimia 30 tu ya mauzo. Hii itasaidia kampuni kupata app developers wengi na hasa kwakuwa App Gallery ni ya tatu baada ya Google Playstore na Apple app store.

Still itakua ngumu app gallery kumfikia play store ukiangalia app gallery by default unaipata kweny products za Huawei lakini play store Karibu simu zote zinazotumia android imo by default.
Kingine politics wakati wa trump zimechangia kwa asilimia kubwa Huawei kupanda na kufika hapo ilipo.
 
Kwa China stores za ios hazikupata wateja wengi katika robo ya kwanza ya mwaka 2020. Wenyeji wa China walisusia kununua simu zenye asili ya Marekani kwasababu ya Huawei kupigwa Ban na Marekani. Badala yake walinunua simu za Huawei na nyingine kutoka Vivo, Oneplus, Xiaomi, Oppo n. k
Hii vita ya ios na huawei, lakini hii trade war sijui kama itaendelea na kuwa moto kama zamani,na kiuhalisia huawei wamegain pakubwa sana.
 
Uwezo wa mchina kufikiri umefika mwisho. Nilitegemea atakuja na OS yake km ilivyo IOS
Anakuja na OS yake halafu unaweza kuinstall app za Android?
Cheki hizi OS zinavyojitegemea
1. Android
2. IOS
3. Blackberry OS
4. Microsoft windows phone
5. Nokia symbian
Ile Harmony os au Hong Meng(kwa China) Ni OS ambayo iko based on Android.Uzuri wake itakuwa ina run accrocs devices na inasemekana iko faster kuliko Android ya Google. Kinachokosekana pale ni Google apps. Lakini watumiaji wanaweza kupata apps za Google pia.
 
Uwezo wa mchina kufikiri umefika mwisho. Nilitegemea atakuja na OS yake km ilivyo IOS
Anakuja na OS yake halafu unaweza kuinstall app za Android?
Cheki hizi OS zinavyojitegemea
1. Android
2. IOS
3. Blackberry OS
4. Microsoft windows phone
5. Nokia symbian
Kuwa na OS itakayokubalika dunia nzima siyo kitu kidogo. Angalia hao Blackberry OS,Microsoft Windows phone OS na Nokia SYMBIAN hizo hazikufaulu kuteka ulimwengu kibiashara kwa muda mrefu wameishia kutengeneza devices zinazotegemea OS zilizo na watumiaji wengi.Kwa HUAWEI Huo ni mwanzo wa kufikia malengo ndugu. Wanaweza kupoteza wateja wengi sana kama watahama mazima,halafu kuna kitu kinaitwa 'custom Rom' hichi ndicho wanakitumia kwenye simu zao ili watumiaji wao waweze kupata experience ya tofauti ukiachilia mbali ile native Android Rom. Kingine ni masuala ya biashara yanawafanya watengeneze devices zinazotumia OS ambazo zinatamba duniani.
 
Hazikuweza kufaulu lkn inaonesha jinsi gani walivyokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri na kuleta mapinduzi makubwa ktk ulimwengu wa teknolojia. Mchina hana hata OS yake mpaka sasa hata OS ya computer hana. Anasubiri watu waumize kichwa, yeye acopy tu.
Hiyo OS ya mchina, mtasema ameleta mapinduzi ktk ulimwengu wa teknolojia?
Mbona iPhone yupo na OS yake na hana mpango na android na kila siku anatoa simu mpya na kali.
Mchina ameshazoea vitu vya kucopy na hana uwezo wa kutengeneza OS yake. Hiyo android anaongeza ongeza baadhi ya vitu halafu anadanganya watu ametengeneza OS mpya.
Kuwa na OS itakayokubalika dunia nzima siyo kitu kidogo. Angalia hao Blackberry OS,Microsoft Windows phone OS na Nokia SYMBIAN hizo hazikufaulu kuteka ulimwengu kibiashara kwa muda mrefu wameishia kutengeneza devices zinazotegemea OS zilizo na watumiaji wengi.Kwa HUAWEI Huo ni mwanzo wa kufikia malengo ndugu. Wanaweza kupoteza wateja wengi sana kama watahama mazima,halafu kuna kitu kinaitwa 'custom Rom' hichi ndicho wanakitumia kwenye simu zao ili watumiaji wao waweze kupata experience ya tofauti ukiachilia mbali ile native Android Rom. Kingine ni masuala ya biashara yanawafanya watengeneze devices zinazotumia OS ambazo zinatamba duniani.
 
Uwezo wa mchina kufikiri umefika mwisho. Nilitegemea atakuja na OS yake km ilivyo IOS
Anakuja na OS yake halafu unaweza kuinstall app za Android?
Cheki hizi OS zinavyojitegemea
1. Android
2. IOS
3. Blackberry OS
4. Microsoft windows phone
5. Nokia symbian
Ficha ujinga wako
 
Wenye mahaba na mchina wanaumia sana.
Mchina hana kitu kipya kwenye mapinduzi ya teknolojia. Unaenda dukani kutafuta iPhone unakutana na takataka ya mchina yenye jina la iPhone ikiwa na chipset ya mediatek.
Ha ha ha
Unfortunaly, Chrome has stopped. Ukienda kununua flash drive, harddisk au memory card ndiyo utajua kuwa mchina anatakiwa kuchomwa moto mchana kweupe.
Ficha ujinga wako
 
Wenye mahaba na mchina wanaumia sana.
Mchina hana kitu kipya kwenye mapinduzi ya teknolojia. Unaenda dukani kutafuta iPhone unakutana na takataka ya mchina yenye jina la iPhone ikiwa na chipset ya mediatek.
Ha ha ha
Unfortunaly, Chrome has stopped. Ukienda kununua flash drive, harddisk au memory card ndiyo utajua kuwa mchina anatakiwa kuchomwa moto mchana kweupe.
Ficha Ujinga kwa mara nyingine tena
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom