Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

LG SMART TV AND 3D INCH 47...BEI 1100000
IMG_20180809_205732_632.jpg
IMG_20180809_205831_075.jpg
 
Nna dish langu la Azam ambalo limepata kutu na nahitaji kubadilisha. Hivo nahitaji dish tupu bila lnb mana lnb ya hili dish nlilonalo ni nzima.

Taja gharama yako tuwasiliane

Napatikana Bunju.
 
Pata Receiver 3 kwa bei 1:
(1)Speed HD s1(support modem & simcard for IPTV streaming)
(2)Strong Receiver SRT 4669X
(3)Humax IR HD 1000
jumla vinauzwa 180000/
pia kama utaongeza 20,000/ utapatiwa na dish ambalo utaweza kufunga
 
samsung inch 32 usb port, 3 hdmi port, av and audio port
lg inch 32 usb port, 3 hdmi port, av and audio port ni full hd yanii 1080p...bei ni 450000 kwa moja
IMG_20180812_130834_427.jpg
IMG_20180812_123428_274.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom