DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,495
- 99,289
nahita tv yeyote ile inch 43 kwa 350
nahita tv yeyote ile inch 43 kwa 350
Jamaa ni mzungu SanaMie sijawahi kufanya kazi nawe ila kuna watu niliwapa namba yako wakakusifia upo very humble to customers.
Nkasema huyo ni mwana jf, nkajionaa kumbe hata sikujui. Hongera bro
2.2mLg 65" Bei gani
nahita tv yeyote ile inch 43 kwa 350
Nina star x inch 43 yangu Ina miez 7 bei 400000.
Mpk mwanza beii ganiNnazo 43" smart 700000
njoo nkupe kwa 650kPlayStation 4 used na mpya Bei gani? Asante
Used au Mpya?njoo nkupe kwa 650k
used mint conditionUsed au Mpya?
500K mkuuused mint condition
Nakubaliana na wewe kwa 100% nimenunua LG Hometheater, TCL 32 na Evolli TV nimezipata kwa wakati sahii.Kila la heri mkuu,
Abdulwahid kaanza KUFANYA biashara ya tv Miaka na Miaka tuko Naye humu ndani.
Sijawahi kuskia kamdhulumu yeyote humu ata thumni.
Na hata Kama kungekua na malalamiko Basi tungeona nyuzi Watu wakilalamika.
Na kibiashara angekua ni mtu mbabaishaji au mdhulumaji, Basi asiweza kuexist Miaka yote hii humu ndani akiuza TV kila kukicha.
Mkuu smart 4k samsung 43 inch ipo na kama ipo bei Gani na siku ngap mpaka inifikieNashkuru sana ndugu yng na asante kwa ushuhuda wako, Allah akubariki sana
Now hatuna mkuuMkuu
Mkuu smart 4k samsung 43 inch ipo na kama ipo bei Gani na siku ngap mpaka inifikie
1450000Sumsung 55 inch bei gani?
Iko 1.2 apa chukua..1450000
hapanaIko 1.2 apa chukua..