Kiwanja Ekari moja na nusu na banda kubwa la mifugo vinauzwa viko Mbezi Msumi 6km kutoka Morogoro Road,Kabla ya Msumi mwisho, umeme upo na ni barabarani kuelekea Mont Primary School.Pia uwezekano wa kukata kata viwanja vidogo vidogo upo kufuatana na mahitaji yako,Simu 0712 234095 dalali hatakiwi serious buyers only.