Special Thread: Walioachwa tuliwazane hapa

Special Thread: Walioachwa tuliwazane hapa

ukiona kakuacha bila sababu ya maana, na kakutafutia sababu, wala usiumiee siku ipo huko alikokimbilia kuna siku ataachwa na atarudi kwako alishachelewa.

hakua ubavu wako, siku ukipata ubavu wako hatoweza kukuumiza amini maneno yangu. mungu ni wa ajabu hachelewi kujibu. kuna siku utatuletea hapa mrejesho.
Haya maneno yamenisisimua sana
 
Siku nyingine usikae bila spea mzee baba, akikuaga kwaheri wamjibu karibu tena unabeba spea yako......
Sasa kama huyo ndo alikua tegemeo atakuliza, masikini utalia kilio cha mbwa koko 😀
Pole ukijisikia upweke sana nicheki nikupe kampan ya kunywa hizo castle
Ngoja nije unipe kampani haha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom