Special Thread: Walioachwa tuliwazane hapa

Special Thread: Walioachwa tuliwazane hapa

Nathan Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
1,445
Reaction score
1,890
Kama upo kwenye majonzi ya kuachwa tukutane hapa, na utwambie ulipoachwa bila sababu kitu cha kwanza ulifanya nini, na ulizoea hali hiyo baada ya muda gani?

Kwa kifupi mi nimeachwa jana, bila sababu ya msingi, kimoyo moyo nikajua kuna njemba litakuwa limembeba,

Ila tuwe wakweli kuachwa ni hatari sana,

Nipo nimebembeleza sana kakataa,

Nikaamua nikaushe nipo naandika uzi huu nikiwa bar nakunywa castle,



Je we umeachwa pia?

Naomba kuwa mwenyekiti wa CHAMA CHA WALIOACHWA TANZANIA (CCWT)
 
Kama upo kwenye majonzi ya kuachwa tukutane hapa, na utwambie ulipoachwa bila sababu kitu cha kwanza ulifanya nini, na ulizoea hali hiyo baada ya muda gani?

Kwa kifupi mi nimeachwa jana, bila sababu ya msingi, kimoyo moyo nikajua kuna njemba litakuwa limembeba,

Ila tuwe wakweli kuachwa ni hatari sana,

Nipo nimebembeleza sana kakataa,

Nikaamua nikaushe nipo naandika uzi huu nikiwa bar nakunywa castle,

Je we umeachwa pia?
Kunywa konyagi mkuu ndio nzuri kwenye hichi kipindi cha kuachwa
 
Pole sana njemba!

Sababu ya msingi IPO kwake mkuu tena inaweza kuwa ya secondary au chuo kabisa,wewe ndo hujui sababu lakini IPO !

Cha msingi ungetafuta kujua 7bu ni nn ili ukija ingia relationship nyingine usikosee kosa lile lile.

But kwa sasa na wewe mkatae ili mkataane na yeye itamuuma maana hakuna anaependa kuachwa.
 
Pole sana njemba!

Sababu ya msingi IPO kwake mkuu tena inaweza kuwa ya secondary au chuo kabisa,wewe ndo hujui sababu lakini IPO !

Cha msingi ungetafuta kujua 7bu ni nn ili ukija ingia relationship nyingine usikosee kosa lile lile.

But kwa sasa na wewe mkatae ili mkataane na yeye itamuuma maana hakuna anaependa kuachwa.
Anasema amechoka tu
 
Kuachwa kitu kibaya Sanaa
Nakumbuka wakat nasoma kuna madam aliachagwa Na mwanafunz
Aseeee Yule madam alikuwa anatia huruma sanaaa
Since kipindi hicho mpaka Leo naamini penz ni kikohozi huwez lificha
 
Pole mkuu, ngoja waje waathirika wa kuachwa kama wewe waje wakupe ushuhuda na walichukua hatua gani
 
Kama upo kwenye majonzi ya kuachwa tukutane hapa, na utwambie ulipoachwa bila sababu kitu cha kwanza ulifanya nini, na ulizoea hali hiyo baada ya muda gani?

Kwa kifupi mi nimeachwa jana, bila sababu ya msingi, kimoyo moyo nikajua kuna njemba litakuwa limembeba,

Ila tuwe wakweli kuachwa ni hatari sana,

Nipo nimebembeleza sana kakataa,

Nikaamua nikaushe nipo naandika uzi huu nikiwa bar nakunywa castle,



Je we umeachwa pia?

Mkuu kama hujaachwa na Mungu endelea na maisha yako,wala huna haja ya kuja JF na kuanziza thread.Mpokee Yesu leo yeye hatakuacha.
 
Kuna kamanzi nilikuwa natoka nacho huwa mara nyingi alikuwa ananitishia kuniacha kidume nikajiongeza
Ikabidi wiki nzima niwe naye beneti Na ku act kwake as real gentleman
Loh!nilichomfanya baada ya kuona amekolea sana kwangu nikamtema
Nilimuumiza Sanaa yaan mpaka Leo anachukia wanaume lakini wadau nilifanya hivyo coz
Kipindi cha mwanzo alikuwa ananitishia kuniacha me kidume nikawa napima upepo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom