Wanajukwaa!
Sio siri kuwa website ina nuru kubwa na taswira pana sana ya tech! Na kuzingatia hili ndo maana nikaleta special thread hii kwa ajili ya kujadili, ku share na kushauriana kuhusu haya maswala ya web hususan designers and developers!
Tanzania tuna designers, developers na programmers wengi sana kuanzia individuals to corporates. Ndani yao kuna wenye kazi zilizotuka lakini kwa bahati mbaya sana jamii pana ya watanzania haiwafahamu sana, na wangepaswa kufahamika kwa fahari ya nchi yetu na kwa minajili ya kibishara pia. Dunia ni biashara.
Naomba tu share kuhusu umahiri wa kazi zao pamoja na ushauri wa wadau mbalimbali kuhusu kazi zao za web.
NB:
Huu uzi hauna maana ya kuponda kazi za watu la hasha! Msingi wa uzi huu ni kushauriana kuhusu webites pamoja na kupeana uzoefu wa hapa na pale! Kupitia uzi huu wafanyabiashara wenye nia na lengo la kuanzisha web zao ama ku develop watanufaika. Hata wale developers wachanga watapata kufahamu wapi na kwa nani wanaweza kufanya consultation pindi wakikwama kwenye kazi zao za coding!
Tujumuikeni hapa!
Sio siri kuwa website ina nuru kubwa na taswira pana sana ya tech! Na kuzingatia hili ndo maana nikaleta special thread hii kwa ajili ya kujadili, ku share na kushauriana kuhusu haya maswala ya web hususan designers and developers!
Tanzania tuna designers, developers na programmers wengi sana kuanzia individuals to corporates. Ndani yao kuna wenye kazi zilizotuka lakini kwa bahati mbaya sana jamii pana ya watanzania haiwafahamu sana, na wangepaswa kufahamika kwa fahari ya nchi yetu na kwa minajili ya kibishara pia. Dunia ni biashara.
Naomba tu share kuhusu umahiri wa kazi zao pamoja na ushauri wa wadau mbalimbali kuhusu kazi zao za web.
NB:
Huu uzi hauna maana ya kuponda kazi za watu la hasha! Msingi wa uzi huu ni kushauriana kuhusu webites pamoja na kupeana uzoefu wa hapa na pale! Kupitia uzi huu wafanyabiashara wenye nia na lengo la kuanzisha web zao ama ku develop watanufaika. Hata wale developers wachanga watapata kufahamu wapi na kwa nani wanaweza kufanya consultation pindi wakikwama kwenye kazi zao za coding!
Tujumuikeni hapa!