Labda ichukue kikombe Cha risasi waweke kwenye ghala lao 😂😂😂Hiyo hiyo arsenal ya Arteta inachukua 😁😁
unamchukulua poa sana arsenal msimu huu ana jambo lakeLondon atakayeweza kupeleka kombe la uefa ni the bluez
Haya bwana we dharau ila lazima tuchukue aidha uefa au epl msimu huuLabda ichukue kikombe Cha risasi waweke kwenye ghala lao 😂😂😂
subir msimu uanze naweza kubadilisha utabiriunamchukulua poa sana arsenal msimu huu ana jambo lake
Epl mkikaa vibaya mtapokonywa mpaka nafasi yenu ya pili jiangalieni 😂😂😂Haya bwana we dharau ila lazima tuchukue aidha uefa au epl msimu huu
dah unaongea kama vile sisi lengo letu huwa ni kuwa wapili😅😅Epl mkikaa vibaya mtapokonywa mpaka nafasi yenu ya pili jiangalieni 😂😂😂
Jamaa Wakilionaga Kombe Pembeni Ya Pitch,wanacheza Kwa Sifa Sana.London atakayeweza kupeleka kombe la uefa ni the bluez
Kwani mna malengo zaid ya hayo subir trh 16 tushamtuma man u waje kuwatest kama mnaweza kutetea nafasi yenu 😂😂😂dah unaongea kama vile sisi lengo letu huwa ni kuwa wapili😅😅
Wana mzuka sawa sawa na rijal kuona pisi yake ipo kwa bed tyr kwa shughuli unaachaje kwa mfanoJamaa Wakilionaga Kombe Pembeni Ya Pitch,wanacheza Kwa Sifa Sana.
Boosting Mood IndeedWana mzuka sawa sawa na rijal kuona pisi yake ipo kwa bed tyr kwa shughuli unaachaje kwa mfano
Kashakufa 2 PSG.psg 4 spurs 1
Goli Moja 😅umeona Harmful Hatuwezi kufungwa na nyumbu united sisi 😅😅
ushindi ni ushindi 😅Goli Moja 😅
kwahiyo mnashinda kutetea nafasi yenu ya pili 😂ushindi ni ushindi 😅