Kuna muda hasa hasa katikati ya saa tano asbh na saa saba mchana unaweza feel like shit. Yaan unakosa mood kabisa ya kufanya chochote kile unajisikia very anxious, kila unachogusa unaona hakiendi. Hii sababu kubwa ni kukosa simple sugar ya kutosha kwenye breakfast yako. Ubongo unakosa nguvu na unashindwa kufocus vzr.
Solution inabidi ujitahidi uwe na CHOCOLATE au fast food yoyote yenye sukari sukari ambayo unaweza kua unakula huku unaendelea na kazi zako, chagua task moja anza nayo kwa kujilazimisha huku unakula hicho kitu. Ukiforce kufanya hivo kwa dakika 5 basi automatically hio feeling ya kujisikia hovyo inaisha ghafla.
Hii njia nmetumia sana na inaleta positive results, try it and post feedback kwa manufaa ya wote.