Kweli binadamu tunatofautiana,mi niliacha kufatilia hii tamthilia tangu msimu uliopita hainivutii kabisa saiv, sababu ni moja tu imechezwa kimjinimjini tu, inahusisha watanashati na watu wenye taswira ya kisomi na kufanikiwa na mambo safi,location zao zote ni za hadhi ya juu kabisa,visa wanajitahid,hawajataka kujisumbua wote wapo Dar wanamaliza kila kitu mjini!
cc.Sanctus Mtsimbe
cc.Sanctus Mtsimbe