MAELEKEZO MAALUMU KWA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA NA DIPLOMA WANAOTARAJIA KUOMBA MKOPO MWAKA WA MASOMO 2019/2020
🎓🎓🎓🎓🎓
STEP 1
Swali je una sifa za kuomba mkopo?
Je watu gani wana sifa za kuomba mkopo?
majibu haya hapa
STEP 2
Baada ya kukizi vigezo vya hatua ya kwanza basi unakuja hatua ya pili
swali je natakiwa niwe na vitu gani ili niweze kuomba mkopo
natakiwa kuandaa document gani
majibu haya hapa
STEP 3
Baada ya kukizi vigezo vya hatua ya pili basi unakuja hatua ya tatu
swali vitu gani vinatakiwa kuhakikiwa na vinahakikiwa kwa mfumo gani
majibu haya hapa
kilimanjaroyetu.com est votre source d’informations généralistes sur le web ! Nous vous souhaitons de fructueuses recherches ! kilimanjaroyetu.com
bit.ly
STEP 4
Baada ya kukizi vigezo vya hatua ya tatu basi unakuja hatua ya nne
je nawezaje kutumia mfumo wa bodi na kutuma maombi ya mkopo
je nawezaje kulipia form ya mkopo
je nawezaje kujaza form ya mkopo
je nitagundua vipi kuna makosa kwenye form yangu niliyojaza
majibu haya hapa
STEP 5
Baada ya kumaliza hatua ya nne basi unakuja hatua ya 5
hapa utakuwa umeshatuma maombi ya heslb
Swali je nitajua vipi kama nimepata mkopo
je bodi wakipitia form yangu vitu gani wataangalia ili nipate au kunyimwa mkopo
je vitu gani vitaniongezea nafasi ya kupata mkopo
_je kwanini naweza kupata au kukosa mkopo
majibu haya hapa
kilimanjaroyetu.com est votre source d’informations généralistes sur le web ! Nous vous souhaitons de fructueuses recherches ! kilimanjaroyetu.com
bit.ly
STEP 6
Baada ya kumaliza hatua ya tano basi unakuja hatua ya 6
kama utakuwa umepata mkopo basi hapa utaangalia kiwango cha mkopo ulichopata
Je kwa ujumla mkopo una cover vitu gani
Majibu haya hapa
kama utakosa mkopo nini cha kufanya
(i)bodi ya mkopo hutoa majina ya waliopangiwa mkopo kwa awamu zaidi ya moja hivyo ukikosa awamu ya kwanza subiri awamu zinazofuata mpaka pale bodi itakapotangaza haipangii tena wanafunzi mkopo
(ii)baada ya bodi kutangaza imefikia mwisho wa kupanga mkopo basi kutafunguliwa dirisha lingine la ku apeal (kukata rufaa) hivyo utakata rufaa either kulalamika kuhusu kukosa mkopo au kupata kiwango kidogo cha mkopo
Our motto
Elimu ni mwanga wa jamii
_UKIPATA TAARIFA HIZI SHARE NA MWENZAKO IWAFIKIE WAOMBAJI MKOPO WOTE _