Special Thread: Kwa waombaji wote wa mikopo kupitia HESLB 2018/2019

Wakuu mnisaidie hapa!
Nina ndugu yangu kaajiriwa tangu 2013 Idara ya Elimu Msingi,yeye ni Mwalimu Grade A,hakusoma Elimu ya juu,I mean yeye ni Certificate,cha ajabu mshahara wa mwezi jana Disemba na Januari mwaka huu wanamkata mkopo wa Elimu ya Juu,Kamshahara kenyewe hatari tupu,amepeleka malalamiko wilayani kaambiwa andika barua alafu ipeleke makao makuu yani mtumishi huyo apeleke mwenyewe ofisi ya bodi ya mikopo,Huku aliko ni mbali na hali ya maisha mwaijua, Sasa nisaidieni kwamba ni njia gani aitumie ambayo itakuwa nafuu ili awasilishe na kutatua shida yake? Natanguliza shukrani.
 
Nataka kufungua account ya visa au mastercard lakini cjui ni bank gani ndo nzuri na yenye makato nafuuu na usalama wa wa hela napo fanya online transactions kwa mtaalamu anaezifahamu naomba kujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mnisaidie hapa!
Nina ndugu yangu kaajiriwa tangu 2013 Idara ya Elimu Msingi,yeye ni Mwalimu Grade A,hakusoma Elimu ya juu,I mean yeye ni Certificate,cha ajabu mshahara wa mwezi jana Disemba na Januari mwaka huu wanamkata mkopo wa Elimu ya Juu,Kamshahara kenyewe hatari tupu,amepeleka malalamiko wilayani kaambiwa andika barua alafu ipeleke makao makuu yani mtumishi huyo apeleke mwenyewe ofisi ya bodi ya mikopo,Huku aliko ni mbali na hali ya maisha mwaijua, Sasa nisaidieni kwamba ni njia gani aitumie ambayo itakuwa nafuu ili awasilishe na kutatua shida yake? Natanguliza shukrani.
Si useme tu muathirika wa hayo makato ni wewe mwenyewe tukusaidie!
 
kama unaomba chuo na mkopo mwaka huu pitia hizi link kwa kiwango kikubwa zitakusaidia

step zile ambazo ni general kuomba mkopo hizi hapa pia zilitumika mwaka jana

badhi ya vigezo vya kupata mkopo ambavyo heslb huviangalia sana

minimum requirement za kujiunga na vyuo vikuu katika programme mbalimbali

list ya website za vyuo kwa ajili ya kufanya application


jinsi ya kuverify vyet rita
 
walimu bana anaanza kukopa benki
akimaliza ana top up
akimaliza anahamia saccos
anahamia vikoba
anahamia salary advance
anahamia m power
anahamia tala
anahamia m kopa

baada ya hapo anahamia dukani kwa mangi

hapoo sasa ndo paleee anapoamua ku bet ili maisha yaendeleee
 
walimu bana anaanza kukopa benki
akimaliza ana top up
akimaliza anahamia saccos
anahamia vikoba
anahamia salary advance
anahamia m power
anahamia tala
anahamia m kopa

baada ya hapo anahamia dukani kwa mangi

hapoo sasa ndo paleee anapoamua ku bet ili maisha yaendeleee
msenge kweli
 
MAELEKEZO MAALUMU KWA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA NA DIPLOMA WANAOTARAJIA KUOMBA MKOPO MWAKA WA MASOMO 2019/2020

🎓🎓🎓🎓🎓
STEP 1
Swali je una sifa za kuomba mkopo?

Je watu gani wana sifa za kuomba mkopo?

majibu haya hapa

STEP 2
Baada ya kukizi vigezo vya hatua ya kwanza basi unakuja hatua ya pili

swali je natakiwa niwe na vitu gani ili niweze kuomba mkopo

natakiwa kuandaa document gani

majibu haya hapa

STEP 3
Baada ya kukizi vigezo vya hatua ya pili basi unakuja hatua ya tatu

swali vitu gani vinatakiwa kuhakikiwa na vinahakikiwa kwa mfumo gani

majibu haya hapa

STEP 4
Baada ya kukizi vigezo vya hatua ya tatu basi unakuja hatua ya nne

je nawezaje kutumia mfumo wa bodi na kutuma maombi ya mkopo

je nawezaje kulipia form ya mkopo

je nawezaje kujaza form ya mkopo

je nitagundua vipi kuna makosa kwenye form yangu niliyojaza

majibu haya hapa

STEP 5
Baada ya kumaliza hatua ya nne basi unakuja hatua ya 5

hapa utakuwa umeshatuma maombi ya heslb

Swali je nitajua vipi kama nimepata mkopo

je bodi wakipitia form yangu vitu gani wataangalia ili nipate au kunyimwa mkopo

je vitu gani vitaniongezea nafasi ya kupata mkopo

_je kwanini naweza kupata au kukosa mkopo

majibu haya hapa

STEP 6
Baada ya kumaliza hatua ya tano basi unakuja hatua ya 6

kama utakuwa umepata mkopo basi hapa utaangalia kiwango cha mkopo ulichopata

Je kwa ujumla mkopo una cover vitu gani

Majibu haya hapa

kama utakosa mkopo nini cha kufanya

(i)bodi ya mkopo hutoa majina ya waliopangiwa mkopo kwa awamu zaidi ya moja hivyo ukikosa awamu ya kwanza subiri awamu zinazofuata mpaka pale bodi itakapotangaza haipangii tena wanafunzi mkopo

(ii)baada ya bodi kutangaza imefikia mwisho wa kupanga mkopo basi kutafunguliwa dirisha lingine la ku apeal (kukata rufaa) hivyo utakata rufaa either kulalamika kuhusu kukosa mkopo au kupata kiwango kidogo cha mkopo

Our motto
Elimu ni mwanga wa jamii

_UKIPATA TAARIFA HIZI SHARE NA MWENZAKO IWAFIKIE WAOMBAJI MKOPO WOTE _
 
Back
Top Bottom