Hivi hayo majibu ya ku-appeal yanatoka lini maana walisema mwishoni mwa mwezi November lakini hii ni December jaman duuh!Appeal imefunguliwa Leo mwisho jpili
Duh we mbona muongo kwa hiyo na walio-appeal wakafanikiwa je!! we hizo takwimu zako za kiganjani umezitoa wap..duh!!!!....Write your reply...akuna aloyekata rufaa tanzania nzima sasa majibu ya nni?
Endelea kuvuta subra ndugu naona mpaka leo kuna watu wamepangiwa mkopo sasa sina uhakika kama bado zoezi linaendelea.HV jaman heslb ndo wamemaliza shughul ya kupanga majina ama bado majina yataendelea kutoka?
Si useme tu muathirika wa hayo makato ni wewe mwenyewe tukusaidie!Wakuu mnisaidie hapa!
Nina ndugu yangu kaajiriwa tangu 2013 Idara ya Elimu Msingi,yeye ni Mwalimu Grade A,hakusoma Elimu ya juu,I mean yeye ni Certificate,cha ajabu mshahara wa mwezi jana Disemba na Januari mwaka huu wanamkata mkopo wa Elimu ya Juu,Kamshahara kenyewe hatari tupu,amepeleka malalamiko wilayani kaambiwa andika barua alafu ipeleke makao makuu yani mtumishi huyo apeleke mwenyewe ofisi ya bodi ya mikopo,Huku aliko ni mbali na hali ya maisha mwaijua, Sasa nisaidieni kwamba ni njia gani aitumie ambayo itakuwa nafuu ili awasilishe na kutatua shida yake? Natanguliza shukrani.
BadoDirisha la kuomba mikopo heslb limefunguliwa?
msenge kweliwalimu bana anaanza kukopa benki
akimaliza ana top up
akimaliza anahamia saccos
anahamia vikoba
anahamia salary advance
anahamia m power
anahamia tala
anahamia m kopa
baada ya hapo anahamia dukani kwa mangi
hapoo sasa ndo paleee anapoamua ku bet ili maisha yaendeleee