Special thread: Kilimo cha umwagiliaji (Irrigation)

Nitashukuru mkuu!!
0d4ea5b6920279d8373872c6bb07988b.jpg


Hii ni proforma ambayo inaonyesha na amount in usd.
Hivyo ni baadhi ya vifaa nilivyochukua
 
0d4ea5b6920279d8373872c6bb07988b.jpg


Hii ni proforma ambayo inaonyesha na amount in usd.
Hivyo ni baadhi ya vifaa nilivyochukua
Bei zao si mbaya. Ni nzuri!

Naomba niambie kuhusu mchakato wa agent wa kisafirisha! Bei zao zikoje? Pia wanapatikanaje?
 
Kwa ushauri tu, hizo emitter zake zinatoa maji mengi! Ni vyema kama system yako haina matatizo ukanyeshea kwa lisaa limoja tu(maximum)! Japo hata nusu saa tu inaweza tosha!

Maana kwa lisaa unakua umeachia lita nne za maji kwenye mmea kiasi ambacho kwa mazao ya mboga mboga ni kikubwa!! Nusu saa au dk 40 zinatosha kabisa!!

NB: Test manually flow rate yake ni kiasi gani?! Unaweza chagua emiter hata kumi au ishirini alafu ukatafuta wastani wa flow rate kuhakikisha emitter moja inatoa lita ngapi kwa lisaa au dakika!
 
Bei zao si mbaya. Ni nzuri!

Naomba niambie kuhusu mchakato wa agent wa kisafirisha! Bei zao zikoje? Pia wanapatikanaje?
Hao wanakupa agent wao ambaye anashughulikia kusafilisha.
Mimi nililipia 1600usd kusafilisha na 350usd inspection.
Hapa Dar nitakupa Agent aliyenitolea ambapo nililipia reli tu 37000tsh
18f983198c79b319485776e8481a5e5e.jpg


Hapo ktk details nimeonyesha ni vya 4Acres just to eliminate some usumbufu hapa kwetu lkn ukweli unaujua wewe mtumiaji.
 
Wadau naomba kujuzwa kwa kilimo cha umwagiliaji cha nyanya..... ekari moja...

Kuandaa shamba na kununua vitu vyoote vinavyohitajika... inaweza ikacost sh ngap....kwa mradi woote kukamilika
 
Hao wanakupa agent wao ambaye anashughulikia kusafilisha.
Mimi nililipia 1600usd kusafilisha na 350usd inspection.
Hapa Dar nitakupa Agent aliyenitolea ambapo nililipia reli tu 37000tsh
18f983198c79b319485776e8481a5e5e.jpg


Hapo ktk details nimeonyesha ni vya 4Acres just to eliminate some usumbufu hapa kwetu lkn ukweli unaujua wewe mtumiaji.
Nashukuru sana!! Huo mzigo ulikua mkubwa!! Na kwenye kodi umesema ulilipa 37k je hawakukusumbua may be kutaka kukupiga???

Swali la mwisho, ilichukua mda gani kukufikia??
 
Kwa ushauri tu, hizo emitter zake zinatoa maji mengi! Ni vyema kama system yako haina matatizo ukanyeshea kwa lisaa limoja tu(maximum)! Japo hata nusu saa tu inaweza tosha!

Maana kwa lisaa unakua umeachia lita nne za maji kwenye mmea kiasi ambacho kwa mazao ya mboga mboga ni kikubwa!! Nusu saa au dk 40 zinatosha kabisa!!

NB: Test manually flow rate yake ni kiasi gani?! Unaweza chagua emiter hata kumi au ishirini alafu ukatafuta wastani wa flow rate kuhakikisha emitter moja inatoa lita ngapi kwa lisaa au dakika!
Hapana nimechukua 4liters per hour kwa makusudi.
Hii inaniokoa ktk zoezi zima la kuepuka kuflash system.
Alafu natumia maji ya aina yeyote sihitaji purification kubwa ya maji.
Nikifungulia maji natumia robo saa, kwa hiyo napata muda wa kufanya shughuli nyingine
 
Nashukuru sana!! Huo mzigo ulikua mkubwa!! Na kwenye kodi umesema ulilipa 37k je hawakukusumbua may be kutaka kukupiga???

Swali la mwisho, ilichukua mda gani kukufikia??
Andaa documents zote vizuri na zote zisitofoutiane HS code.
Wakikusumbua nenda kamuone kamishina wao, sababu wao ndio wametoa muongozo wa kuagiza vitu
 
Wadau naomba kujuzwa kwa kilimo cha umwagiliaji cha nyanya..... ekari moja...

Kuandaa shamba na kununua vitu vyoote vinavyohitajika... inaweza ikacost sh ngap....kwa mradi woote kukamilika
Sintagusa maswala ya nyanya kama nyanya maana sio mtaalam wa huko!

Okey kwenye kumwagilia sasa...

Hapa swali la kwanza ushajibu kuhusu eneo!

Swali la pili je unataka kutumia njia gani ya umwagiliaji?? Drip? Au mifereji?

Vipi chanzo cha maji? Ni cha uhakika?

Vipi quality ya maji?? Yana chumvi??

Je eneo lako ni tambarare au ni la mwinuko??

Je wewe una bajeti ya shilingi ngapi??

Ukiweza kujibu hayo maswali upatata mwanga sehem ya kuanzia!
 
Andaa documents zote vizuri na zote zisitofoutiane HS code.
Wakikusumbua nenda kamuone kamishina wao, sababu wao ndio wametoa muongozo wa kuagiza vitu
Hizo hs code unapewa na hao waliokuuzia au inakuaje boss??

Je ilichukua mda gani kukufikia??
 
Back
Top Bottom