Hizo hs code zimetolewa na tra.Hizo hs code unapewa na hao waliokuuzia au inakuaje boss??
Je ilichukua mda gani kukufikia??
Download hicho kitu
Hizo hs code zimetolewa na tra.Hizo hs code unapewa na hao waliokuuzia au inakuaje boss??
Je ilichukua mda gani kukufikia??
Kwa kweli niseme tu, shukran sana! Naimani hii itawasaidia na wengine ambao wana nia ya kutumia drip au kuagiza kitu nje!Hizo hs code zimetolewa na tra.
Download hicho kitu
Hawa jamaa wanayo complete kit ya heka moja 240usd, full kit na mipiraKwa kweli niseme tu, shukran sana! Naimani hii itawasaidia na wengine ambao wana nia ya kutumia drip au kuagiza kitu nje!
Nitazitafuta hizo hs code niwe nazo kabisa kama kumbukumbu!! Wengi wamekatishwa tamaa na bei za hawa dealers wa huku kwetu! Mfano kwa case yako...roller ya mita 1000 nadhani hata haizidi 230,000/= hapa bongo wanauza parefu sana duuuh!!
Umekua msaada mkuu! Shukran sana!!
Umetufungua macho mkuu!! Namba zao nnazo tayari! Nadhani nitawatafuta!!Hawa jamaa wanayo complete kit ya heka moja 240usd, full kit na mipira
mkuu mda sio mrefu nami nitahitaji vifaa vya drip vya heka 1 mimi sijawahi kuagiza vitu nje nitaomba ushirikiano wakoHawa jamaa wanayo complete kit ya heka moja 240usd, full kit na mipira
Wako wapi hao watu mkuu?Hawa jamaa wanayo complete kit ya heka moja 240usd, full kit na mipira
IndiaWako wapi hao watu mkuu?
Toa shakamkuu mda sio mrefu nami nitahitaji vifaa vya drip vya heka 1 mimi sijawahi kuagiza vitu nje nitaomba ushirikiano wako
So tuna agiza vipi? Wana agent hapa bongo?India
Nimetoa details zao zote,So tuna agiza vipi? Wana agent hapa bongo?
Vipi nikituma hela alafu mzigo usifike ntaanzia wapi?Nimetoa details zao zote,
Wanapatikana hata kwenye watsp
Wape mahitaji yako
Watakutumia.
Au kama utahitaji msaada wowote niambie
Usifike kwa kuogopa kuibiwa?Vipi nikituma hela alafu mzigo usifike ntaanzia wapi?
Hawa jamaa wanayo complete kit ya heka moja 240usd, full kit na mipira
Ndiomkuu hii kit ya heka moja 240 usd naweza kuiagiza eka 10 kwa 2400 usd?
Ndio